Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli wapo lakini kitakwimu ni wachacheWapo watu black wanafanya vzr acha kuwaza negative
Wapo watu black wanafanya vzr acha kuwaza negative
Marathon.. Game.ni kweli wapo lakini kitakwimu ni wachache
Hata Mwafrika amewahi kuwa Rais wa Marekani lakini tunaangalia takwimu
Na wewe Ngozi nyeusi ulie sign confidentiality policy mbona unatoa siri za wateja wa kampuni ?Ni kijana tu yupo kwenye 30s flani za ukingoni imeenda sana ni 40, kwa jinsi alivyo kimuonekano, gari anazotembelea, mavazi, n.k. waweza kumchukulia poa sana.
Nikapewa data na rafiki yupo sekta ya banking akanijuza kijana alikuwa anadaiwa bilioni 80, kafanya investments zake kwenye rasilimali tele nchi hii ilizobarikiwa, hivi karibu kamaliza marejesho yake, Hakuna mambo ya kuzima simu wala kukimbizana kwenye marejesho.
Wabongo wengi madeni ya biashara milioni 1, 10, 100 mpaka Bilioni, na hapo kuna kuzima sana simu, kukimbizana, n.k. tutafika kweli ?
naona bado tupo nyuma mno na hii inasababishwa na one man army baba akifariki muvi imeisha, kukosa connections za nje, kukosa uaminifu, n.k.
Kukopa sio kitu kirahisi kama unavyodhani,Usijidanganye..biashara za hao watu sio za leo - niliishawahifanya na muhindi - dogo kazaliwa 1998- katoka chuo Uingereza kakabidhiwa kampuni 13 asimamie - sio mchezo..sasa huyu ukisikia kakopa billioni 100 utashangaa kweli?? Wana-apartments za kutosha masaki, wana - maviwanda ya rangi, wana - contruction kampani tangu kipindi cha Nyerere mpaka leo, yaani babu yao ndo alianzisha etc..hayo magari kama serikali...
Nenda kwa watoto wa ASASI tu hapo..kuna watu machalii lkn wanasukuma biashara za mabilioni na wanakopa bank..
Usishangae Umri nyuma yake kuna watu wazito sana, huyo anakuwa kama wakala tu
Ameweka website yake ya kubetYupo sekta ipi? Ana supply nini?
Kaweka bond kitu gani ili akopesheke 80B nyumba/ghorofa/sheli/kiwanda/hotel/malori/magodown au kaweka mkataba kama bond
Kama una mindset hiyo na wewe nenda benki kakope kwa assets ulizonazo, Watu mnachukulia mikopo kirahisi rahisi sanaUsijidanganye..biashara za hao watu sio za leo - niliishawahifanya na muhindi - dogo kazaliwa 1998- katoka chuo Uingereza kakabidhiwa kampuni 13 asimamie - sio mchezo..sasa huyu ukisikia kakopa billioni 100 utashangaa kweli?? Wana-apartments za kutosha masaki, wana - maviwanda ya rangi, wana - contruction kampani tangu kipindi cha Nyerere mpaka leo, yaani babu yao ndo alianzisha etc..hayo magari kama serikali...
Nenda kwa watoto wa ASASI tu hapo..kuna watu machalii lkn wanasukuma biashara za mabilioni na wanakopa bank..
Usishangae Umri nyuma yake kuna watu wazito sana, huyo anakuwa kama wakala tu
Uko India ukimkopa mtu binafsi dhamana lazima iwe mke wako,ukishidwa kulipa wanamchukua,wanakuja lazima utapambana ulipe kwa muda muafakaWahindi wengi wanaogopa madeni na kudaiana mpaka kukabana hawapendi
Njoo kwa hawa wetu...mtu yupo jobless ila mzinga kwa boy wake wa kusuka nywele za 70k. Unashangaa kabisa huyu kweli ana akli au matopeWahind Wana mambo mengi sana nyuma ya pazia ila kiukweli sio wahuni ,Huwa wanaoa mapema,wapo disciplined na Hela,wanavaa simple.mademu wao wanavaa kawaida sana,huwezi kukuta kasuka nywele za laki
Uko India ukimkopa mtu binafsi dhamana lazima iwe mke wako,ukishidwa kulipa wanamchukua,wanakuja lazima utapambana ulipe kwa muda muafaka
Duh,haha kweli aiseeHuku bongo watu walivyowachoka wake zao si wenye mikopo watafilisika
Banker haeishimu ethics za kaziSo huyo banker anatoa siri za wateja?.! Wajiande kuingizwa mahakamani na kudaiwa fidia ya kutoa siri za biashara za mteja wao
sikupingi kiongoziDeni la B80! kalifuta ? Age 30yrs ? Kama n real : Inavutia.
Kuondoa ukakasi
Nadhani Ungeshusha details zaidi Hilo deni lina mda gani na anapush biashara gani
Ukishindwa huu Uzi ni chai pro maximum