Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Huko 100k mbn mbali sana kiongozi. Nilikopwa 20k ni mwaka wa 3 sasa, yule mtu kapiga kimya kama hakuna kilichotokea. namm wala sijajishughulisha nae. Juzikati kaanza kunitafuta nna hakika anataka kupiga kizinga kingine hlf apotee tena. wabongo kupiga hatua ngum sana tunadidimizana sana.Boss jamaa alinikopesha 100,000/= Kwa makubaliano baada ya wiki mbili atanirudishia pesa yangu...ila ilimchukua mwezi mzima kunirejeshea, ambapo na penyewe alinirushia kwenye simu 65,000
Naskia Hawa bankers ukienda kufanya withdrawal hata ya 40m ukimpa mgongo tu, atachukua taarifa zako zoteBanker hana nidhamu ya kazi.
Mpige chini kabisa huyo bwege na akili zake ndogo.. Kuna watu hata aibu hawanaga, mtu anakopa Hela kwako anajisahaulisha Kwa makusudi akiona haulizi chochote kuhusu deni, anakuja kukukopa Tena..... Hao ni parasites ambao hautakiwi kabisa kuwa nao kwenye circle yako.Huko 100k mbn mbali sana kiongozi. Nilikopwa 20k ni mwaka wa 3 sasa, yule mtu kapiga kimya kama hakuna kilichotokea. namm wala sijajishughulisha nae. Juzikati kaanza kunitafuta nna hakika anataka kupiga kizinga kingine hlf apotee tena. wabongo kupiga hatua ngum sana tunadidimizana sana.
Kukosa nidhamu huko mkuu.Naskia Hawa bankers ukienda kufanya withdrawal hata ya 40m ukimpa mgongo tu, atachukua taarifa zako zote
Duuh... Hilo nalo Lingewezekana, maana jamaa Yuko obsessed sana na pesa na anapenda sana easy money.Bora hamkwenda nje ya nchi maana watu wa hivyo hawakawii kukuuza kwa euro kwenye mashamba ya wazungu huko nje
Mwaka mmoja na wewe 2023 nimempa mtu 100k ana shida kipindi hiko boom limeisha mpaka warudi likizo.... Mpaka Leo nishachoka kudai..
Kwenye harkt zingine Tena deals hela ndefu daah !! Sema watz hatuna uaminifu
Mimi naweza nisiwe muaminifu sio kwenye deni la mtu au michongo dhuluma sipendi kabisa..... Kudhulumiwa kunaumiza!!
Nakumbuka mzee mmoja alinambia nikikuangalia wewe mimi na watz wote tunadharauliwa na wahindi kwa sababu, hatuheshimu muda, makubaliano mliopeana, uaminifu hatuna!!
Nakumbuka alikuwa ananisisitiza integrity iz all in your life! No matter what integrity!! Integrity mpaka kwenye WhatsApp chats or normal calls!
Nikaja kuelewa wabongo bhn uaminifu ndo unaotufungia milango ya riziki !!
Mpaka apate mkopo wa Biliono 80 it means huyo tayari ni tajiri au mtoto wa tajiri. Hakuna masikini au ngozi nyeusi anayeweza kwenda benki na kupewa bilioni 80 kirahisi rahisi
Hiyo ni case nyingine ya Ufisadi na Utapeli. Haihusiani na Biashara.Lugumi mzungu?
Huwa nashangaa sana watu wanavyomtaja taja Lugumi Tena Kwa mitano ya heshima utafikiri labda huyo Lugumi ni business genius wakati ni mtu ambaye utajiri wake ulitokana na kutake advantage ya utawala mbovu uliokuwa umejaa rushwa na ufisadi.Hiyo ni case nyingine ya Ufisadi na Utapeli. Haihusiani na Biashara.
unadhani hadi bank iliamua kumkopesha hizo billion 80 unadhani alikuwa na assets za gharama gani..!Ni kijana tu yupo kwenye 30s flani za ukingoni imeenda sana ni 40, kwa jinsi alivyo kimuonekano, gari anazotembelea, mavazi, n.k. waweza kumchukulia poa sana.
Nikapewa data na rafiki yupo sekta ya banking akanijuza kijana alikuwa anadaiwa bilioni 80, kafanya investments zake kwenye rasilimali tele nchi hii ilizobarikiwa, hivi karibu kamaliza marejesho yake, Hakuna mambo ya kuzima simu wala kukimbizana kwenye marejesho.
Kilichonistusha ni Guts / uthubutu wa kuchukua hicho kiasi kikubwa maana ni risk kubwa sana unaweza kufilisiwa assets zote mambo yakiyumba ndio maana watu wengi wana assets lakini wanaogopa mikopo, pia kulipa marejesho kikamilifu inaonesha kulikuwa na mpango kazi planning za kutosha sana kwenye uwekezaji
Wabongo wengi madeni ya biashara milioni 1, 10, 100 mpaka Bilioni, na hapo kuna kuzima sana simu, kukimbizana, kubadili njia, mkikutana anaongeza speed macho mbele utadhani hajakuona, n.k. tutafika kweli ?
naona bado tupo nyuma mno na hii inasababishwa na one man army baba akifariki muvi imeisha, kukosa connections za nje, kukosa uaminifu, n.k.
Umenena vyema Mr muhimbu......Umenikumbusha mbali sana enzi za boom kukata, halafu Bado kama wiki mbili hivi ndio litoke lingine... Huwa ni kipindi kigumu sana na Cha mateso, wadada wanaliwa sana, watu wanaweka bond TV Kwa Hela ndogo mno...!!
Kwa nilichokuja kubaini Mimi wabongo tunapenda sana kupokea Hela na hatupendi kabisa kutoa, yaani hata kama mtu unadaiwa unaona kutoa Hela hili umlipe mdeni wako ni kama unaitupa chooni hivi, yaani kutoa Hela mfukoni mwako roho inakuwa unakuuma sana na wakati ni wajibu wako kulipa deni.. Sasa na principles za Hela haziko hivyo, hautakiwi kuwa na roho ya hivyo.
Integrity ni kitu ambacho wabongo hawana kabisa na wamekaa ki-opportunistic tu.
Tamaa mbele, uaminifu hakuna na ndio maana hata baadhi ya makampuni huwezi kuwakuta wabongo kwenye positions muhimu... Utakuwakuta kwenye vibarua huko.
Hivi unajua hapa nchini Kuna benki ambazo hazikopeshi kabisa wabongo ngozi nyeusi? Na sababu ya kufanya hivyo ni hizi hizi tunazoongelea hapa, mfano kama bank of Baroda hakuna mswahili anayeruhusiwa kusogea pale ... Waswahili waende wakakopeshane kwenye vikoba huko.
Masuala ya kumkopesha mtu halafu inafika siku ya rejesho anakwambia mara ooh nimempeleka mtoto hospital Hela zote zimeishia huko, wao hawataki..
Kuna muda Huwa naamini huu umaskini WA waswahili ni stahiki Yao..
Huyo jamaa yako hiyo Hela itamtesa sana kwenye nafsi yake maisha yake yote, maana kila akikumbuka alikufanyia dhuruma Tena wewe rafiki yake bila sababu, basi itakuwa inamuuma sana..!!Umenena vyema Mr muhimbu......
Jamaa mpk leo two yrs kamute na kilo yangu kimya tunaishia ku view status hasa mm ndo namview maake mwaka unaweza kata sijapost chochote
Mmepanga deal sijui mchongo umetiki wote au kidg muelezee muhusika aliyekutonya ama mmefanya wote deals hiyo bhn kiasi ni hiki hata km umemdhulumu kivingn Kuna uaminifu atakupa......
Lkn mtu anakimbia mitini ukipiga ntakuchek badae huyo...... Inakuwa ndo zake
Watu wa hivyo ukikutana na wengine ndo kulogwa....... Kusomewa sijui nn kwa ujinga......
Nasema Tena kaka aliyenambia issue ya integrity mtu mzima km 70 ana kampuni zake anachonisisitiza nataka kwenye maisha utendaji uwe na integrity
Akaniambia Kuna vitu nilikosa kwa kitokuwa na integrity so sitaki na wewe upite hapo japo hakunishirikisha ni nn alifanya Ila ananisisitiza integrity iz all in your life.....
Tuko pamoja Mr 👊
Mimi nshasahau kumdai Ila najua ana deni languHuyo jamaa yako hiyo Hela itamtesa sana kwenye nafsi yake maisha yake yote, maana kila akikumbuka alikufanyia dhuruma Tena wewe rafiki yake bila sababu, basi itakuwa inamuuma sana..!!
Integrity ni nguzo kuu ya kutengeneza network ya kukupa wewe mafanikio.
Wale raia wa Ethiopia ambao kila siku Huwa wanakamatwa nchini kwetu hapa kwenye maroli wakibebwa kama mizigo wakielekea South Africa..
...unaambiwa wanaendaga kule South hawana hata nguo za kubadilisha, wakifika kule wanakutana na WA Ethiopia wenzao ambao tayari wamesha make life, Kwa hiyo hao wenzao ambao tayari Wana maisha wanachofanya ni kuwakopesha mitaji ya biashara hao wenzao waliofika hawana kitu kabisa....
Baada ya mwaka Mmoja tu hao new comers wanakuwa tayari na wao wameshaji stabilize kibiashara na hatimae Sasa wanarejesha zile pesa walizokuwa wamekopeshwa na wenzao kama mitaji....! Kisha maisha yanaendelea.
Na ndio maana Ethiopians ndio diaspora yenye maendeleo zaidi kuliko waafrika wengine huko south Africa.
Sasa hebu chukua huu utaratibu WA kuwezeshana wa Ethiopians halafu uuletea Kwa mbongo uone kama hujaambulia maumivu na mkaishia kwenye uadui.
Wahindi wengi ni wezi wakwepa kodi na janja janja nyingi..Wahindi wengi wanaogopa madeni na kudaiana mpaka kukabana hawapendi
Kujua Hilo tuu ni hatua kubwa sana keep upNi kijana tu yupo kwenye 30s flani za ukingoni imeenda sana ni 40, kwa jinsi alivyo kimuonekano, gari anazotembelea, mavazi, n.k. waweza kumchukulia poa sana ila ni supplier mikoani + exports nje ya nchi,
Nikapewa data na rafiki yupo sekta ya banking akanijuza kijana alikuwa anadaiwa bilioni 80, kafanya investments zake kwenye rasilimali tele nchi hii ilizobarikiwa, hivi karibu kamaliza marejesho yake, Hakuna mambo ya kuzima simu wala kukimbizana kwenye marejesho.
Kilichonistusha ni Guts / uthubutu wa kuchukua hicho kiasi kikubwa maana ni risk kubwa sana unaweza kufilisiwa assets zote mambo yakiyumba ndio maana watu wengi wana assets lakini wanaogopa mikopo, pia kulipa marejesho kikamilifu inaonesha kulikuwa na mpango kazi planning za kutosha sana kwenye uwekezaji
Wabongo wengi madeni ya biashara milioni 1, 10, 100 mpaka Bilioni, na hapo kuna kuzima sana simu, kukimbizana, kubadili njia, mkikutana anaongeza speed macho mbele utadhani hajakuona, n.k. tutafika kweli ?
naona bado tupo nyuma mno na hii inasababishwa na one man army baba akifariki muvi imeisha, kukosa connections za nje, kukosa uaminifu, n.k.
Ni kweli hawa jamaa wanapigana tafu sana, hawachekani mmoja wao akikwama. Bongo ndugu wanafurahia sana ndugu yao wa Damu akikwama kibiashara au hata kufilisikaSisi wahindi ukoo mzima tunaishi nyumba moja. Hio pesa ni ndogo sana tukijichanga bukubuku mwezi tu inafika na hapo hatujawashirikisha wajomba mumbai na mashangazi wa Delhi
bila shaka umeajiriwa tena na Mwanaume mwenzako mwenye pu.mbu kama wewe,Fanya akuoe chawavwake basi,ovyooo