Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 749
- 1,310
Ndio producer wa kipindi cha XXLmimi siwezi kuongea na mtu nisiyrmjua...nawashauri wanaopigiwa simu na huyu jamaa kwenye kipindi chake wawe wanamtolea mbali, hivi inaingia akilini kweli unajibu maswali ya mtu ambaye humjui
Mimi nataka kuiona sura halisi ya Mshana Jr.. kwa mwenye picha tafadhaliNimeipenda midomo yake macho yake yakurembua ila shepu sijaiona
Hivi Clouds Media kuna mwenye Elimu yoyote? Tafadhal bna mkuuana elimu gani?
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mimi nataka kuiona sura halisi ya Mshana Jr.. kwa mwenye picha tafadhali
kwa kuongezea Ndo muaandaji wa XxlTsup.
KWA WASIOMJUA:
Soudy Brown ni Mtangazaji Maarafu Wa Clouds FM katika kipindi cha XXL kwenye sesion ya YOU HEARD.
Tumezoea kuziona picha za huyu jamaa akiwa na Mask usoni.
Yaani jamaa amefanikiwa kiasi kikubwa katika zoezi la kuificha sura yake, Maana kuna mpaka baadhi ya wasanii wakubwa Bongo ambao pia hawamjui
licha ya kwenda mjengoni(clouds) mara kibaao.
SASA WAKUU MWENYE PICHA YA SOUDY BROWN INAYOONYESHA SURA YAKE BILA MASK TUNAOMBA AITUPIE ILI TUMJUE...
Ile ni kaz yake we waona umbeaAnaona aibu. We unadhani hajionei huruma dume zima Kuwa mbea?
Kwani kutangaza radio vipindi vya burudani inahitajika elimu?,ni mdomo wako tu na kubwajajaana elimu gani?
Ndio huyo nn?Utsaidika nini ukimuina!?View attachment 360166
..Basi weka namba zake za Simu,..sasa jamani si utakua ushankunaku... mmmh hata hvyo sina picha yake...!!!
..Muangalie kwenye Avatar ya ScrepaMwenye picha ya Sudi Brown please aiweke hapa,nahitaji kumfahamu.
Ndie huyu Huyu nakumbuka sakata la dogo janja na madee alikuwa havai likofiaAnaonekana kama ni mshikishwa ukuta....ana dalili zote, umbea, kubana pua, na kushupalia madushe ya wasanii wa nje.
Sio huyu
Nenda kwe page ya mange insta keshampata sura yakeMwenye picha ya Sudi Brown please aiweke hapa,nahitaji kumfahamu.