Sura halisi ya Soudy Brown wa Clouds FM

Status
Not open for further replies.
mimi siwezi kuongea na mtu nisiyrmjua...nawashauri wanaopigiwa simu na huyu jamaa kwenye kipindi chake wawe wanamtolea mbali, hivi inaingia akilini kweli unajibu maswali ya mtu ambaye humjui
Ndio producer wa kipindi cha XXL
Kama unavyojua XXL ni kipindi bora katika vipindi vya afternoon shows
Wasanii wanamuhusudu sana jamaa
 
kwa kuongezea Ndo muaandaji wa Xxl
 
Mbona mange kaisha anza kumuweka aya
 
najua wengi hatumfaham huyu jamaa anayejulikana kama soudybrown muasisi na anayeendesha kipind cha shilawadu kinachorushwa n la ijumaa kuanzia saa 3 usiku na clouds tv...
wengi wetu hatumfahamu kutokana na tabia yake ya kuvaa mzura mda wote....mjue sasa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…