Sura halisi ya Soudy Brown wa Clouds FM

Sura halisi ya Soudy Brown wa Clouds FM

Status
Not open for further replies.
Tsup.
KWA WASIOMJUA:
Soudy Brown ni Mtangazaji Maarafu Wa Clouds FM katika kipindi cha XXL kwenye sesion ya YOU HEARD.

Tumezoea kuziona picha za huyu jamaa akiwa na Mask usoni.

Yaani jamaa amefanikiwa kiasi kikubwa katika zoezi la kuificha sura yake, Maana kuna mpaka baadhi ya wasanii wakubwa Bongo ambao pia hawamjui
licha ya kwenda mjengoni(clouds) mara kibaao.

SASA WAKUU MWENYE PICHA YA SOUDY BROWN INAYOONYESHA SURA YAKE BILA MASK TUNAOMBA AITUPIE ILI TUMJUE...
Umetumwa sio bure..huipati n'goooo
 
Kuna mtu kanitumia picha yake,ngoja niiweke hapa
IMG_201609254_121556.jpg
 
uwezi kufanikiwa kuficha sura kwa aina ya kazi yake akafanikiwa, siku moja atatumbuliwa
 
Huyu jamaa nilimuona live ile siku ya kwanza ya kwenda kumuhoji Baba yake na DIAMOND halafu ikashindikana, sasa nadhani walijisahau kumvesha mask sasa hivi nikitafuta hiyo clip siioni.
Nami nimeitafuta sasa hivi sijaipata. Walikuwa ktk ile noah nafikiri hakuvaa mask.
 
mimi siwezi kuongea na mtu nisiyrmjua...nawashauri wanaopigiwa simu na huyu jamaa kwenye kipindi chake wawe wanamtolea mbali, hivi inaingia akilini kweli unajibu maswali ya mtu ambaye humjui
 
mimi siwezi kuongea na mtu nisiyrmjua...nawashauri wanaopigiwa simu na huyu jamaa kwenye kipindi chake wawe wanamtolea mbali, hivi inaingia akilini kweli unajibu maswali ya mtu ambaye humjui
wasanii wenyewe ndo wanamtafuta kumuomba awapigie simu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom