haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,829
- 4,614
Hii nchi imekua ni ya hovyo sana vijana wanahangamia kwa ukosefu wa maarifa yaani Mange ndie amekua mtu wa kuchagua nani afanye na nani asifanye anataka kuogopwa na kwa ugumu wa maisha wa vijana ndio sehemu yao ya kuondolea stress kuchamba watu waliowazidi vipato na elimu.
Ni muda sasa muafaka wa Mh Rais kuruhusu vijana wake wanyooshe nchi hatuwezi kuishi kama kambale hatujui nani mkubwa nani mdogo,nani kiongozi na nani mfuasi sidhani kama Serikali inashindwa kufanya jambo huu ni ujinga wa kiwango cha lami watu wanaamini kauli za Instagram.
Ni muda sasa muafaka wa Mh Rais kuruhusu vijana wake wanyooshe nchi hatuwezi kuishi kama kambale hatujui nani mkubwa nani mdogo,nani kiongozi na nani mfuasi sidhani kama Serikali inashindwa kufanya jambo huu ni ujinga wa kiwango cha lami watu wanaamini kauli za Instagram.