Sura mbili za Bashiru Ally Kabla na baada ya madaraka

Sura mbili za Bashiru Ally Kabla na baada ya madaraka

Anatumia jina gani kwenye ID?
rules za JF zinakataza ku identify mtu. Nitafungiwa milele. Simjui kuwa nimemuona, bati under irresistible inference he is the one!
 
Wanasiasa bongo woote ni wachumia tumbo, hakuna mwanasiasa anaepiga kelele kwa sababu anaipenda sana tanzania, wote ni wanataka KULA tu.
Siyo wote! Kuna watu Jiwe alitaka kuwahonga billions of Tsh wakakataa! wapo, siyo wote
 
Bashiru alikuwa anaushadadia mfumo maguful Akiuita magufulification.

mfumo ambao haufuati na unapingana na demokrasia, wenye akili tukamuuliza vipi? endapo magufuli akifa.

Pamoja na usomi wake hakutujibu

Siku chache magufuli akafariki

Sasa tumuulize tena bado anaamini demokrasia au magulification
 
Yote kwa yote amesema ukweli bhn ukiwa na dola halaf ukatok madarakn kizembe bila ya kutumia iyo dola kubaki madarakani utakua ni uzembe mkubwa sana 🤣
The issue is, before attaining the reigns of power, he was portraying himself as a true democratic guy, only to find that it was because of an empty alimentary canal!
 
Ndiye alukuwa mrithi wa Hayati. Urais umemponyoka hivihivi.

You can't imagine he was once one of the most powerful people in this country.

Mwingine yuko Cuba huko unaambiwa kichwa chake kilivyo chepesi kujua lugha geni sasa hivi anatitirika kispanish kama hana akili nzuri.

Cc Pascal Mayalla
Asante kuni tag Pascal Mayalla amchambua Dkt. Bashiru, adai aliandaliwa kuwa Rais 2025
P
 
Back
Top Bottom