imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sasa wewe mke wa magulufi unashangaa nini heheshemeji mke wa pili wa lisu kumbe upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe mke wa magulufi unashangaa nini heheshemeji mke wa pili wa lisu kumbe upo
Wazungu wakitoa misaada na mikopo tunapokea au wakati mwingine tunaenda kuwaomba wakitupa tunawaita na kuwatambua kuwa Ni nchi wafadhiri,na Ni nchi Marafiki.Kuna msemo unasema ukiwa mwongo usiwe msahaulifu. Kabudi amesahau kabisa alivyosema mwaka jana.
Tulifanya makosa makubwa sana mwaka 2015. Naamini hata akina JK, BWM na wana CCM asilia wanajuta sana.Kwenye chafuzi zilizo pita hatukuwahi kujitetea kwa kuhaidi kuwa tutafanya uchafuzi huru na haki, lkn pia hatukuwahi kuandamwa juu ya hilo kama ilivyo sasa hivi. Hivi jiwe et-al wanajiuliza juu ya hili?
Na hapo ndipo najiuliza huyu wa Prof Kabudi ndiyo yule wa UDSM na Baraza la Katiba kweli?Wazungu wakitoa misaada na mikopo tunapokea au wakati mwingine tunaenda kuwaomba wakitupa tunawaita na kuwatambua kuwa Ni nchi wafadhiri,na Ni nchi Marafiki.
Wazungu wakitukosoa na kuwataka viongozi wa CCM wawatendee vema Vyama vya upinzani na wakosoaji wa CCM hutajwa na kuitwa kuwa ni Mabeberu.
Beberu = Mfadhiri,rafiki.
Inategemea haya majina unayatumia wapi na wakati gani.
Kwani Wa Lutheran wana tabia kama za kabudi?Kumbe ni muinglikana! Nilidhani ni Lutheran.
Ikitokea wakakutana Kabudi wa Tume ya Jaji Warioba na Kabudi Waziri wa Mambo ya Nje wa Awamu ya 5 watapigana vibaya sana.Ila Prof. Kabudi anaongea kwa kujiamini sana hapo Bungeni aisee. Ukimwangalia anavyoongea, maneno yake (kushinda vita nyingi, kutoomba misada) na kugonga kwake meza (kuonesha msisitizo) unaweza ukafikiri kuwa taifa letu ndio US (super power).
Mkuu, kutoka jalalani mpaka uwaziri unadhani kitoto?[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji13]
Sijawahi kuona waziri kizabzabina kama huyu
Mnalalaga mnaiota chadema ndo maana hata kama watu wanajadili nshu tofauti wewe unaweweseka na CDM!Sababu ni moja kubwa, ili kwenda sambamba na mtu kama Lema au Sugu au CHADEMA kwa ujumla unatakiwa uwe mbabe sana bila hivyo Mambo hayataenda.
Wapelekee ujumbe wako wahusikaMungu anachotaka ni tume huru tu bila hivyo vikwazo mtavikoga
In God we Trust
Anavyojua kuongea na kujenga hoja kwa suala husika namkubali sana, kaka msomi kabudi.Ila Prof. Kabudi anaongea kwa kujiamini sana hapo Bungeni aisee. Ukimwangalia anavyoongea, maneno yake (kushinda vita nyingi, kutoomba misada) na kugonga kwake meza (kuonesha msisitizo) unaweza ukafikiri kuwa taifa letu ndio US (super power).
Wapeleke picha, tabasamu au wajichekeshe ........... Naona Mabeberu wameamua kukomaa na kushikilia hapo hapo "FREE and FAIR ELECTION"Ukimsikiliza kwenye video clip hapo anasema Tanzania haiwezi kumpigia magoti beberu. Bunge la mwaka 2019;
Jana alikuwa huko Ubeberuni kumpigia magoti Under Secretary Of State Tibor Nagy ili kuboresha mazingira ya biashara na usalama, kwa ahadi ya fair and free elections.
My Take:
Prof Kabudi yuko kama yule Msemaji wa Saddam Hussein wakati wa vita vya ghuba 2003,Mohammed Saeed al-Sahaf. Tusimchukulie serious
View attachment 1379858
View attachment 1379876
Nimeongea hivyo kwa upande wa uhusiano na mabeberu... Si ndiyo topic yako ilipobaseHakuna linalokwenda vizuri, nchi imekuwa Jamhuri ya Kidikteta ya Tanzania
Yanatuhusu sana haya mambo ndimi mbili ni upumbavu wa hali ya juuHayo mengine hayatuhusu ilmradi mambo yanaenda vizuri.