Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
No lazima tujue mhe. Kabuni no Kabila gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshasahau nilichotaka ku type mwanzoniUkimsikiliza kwenye video clip hapo anasema Tanzania haiwezi kumpigia magoti beberu. Bunge la mwaka 2019;
Jana alikuwa huko Ubeberuni kumpigia magoti Under Secretary Of State Tibor Nagy ili kuboresha mazingira ya biashara na usalama, kwa ahadi ya fair and free elections.
My Take:
Prof Kabudi yuko kama yule Msemaji wa Saddam Hussein wakati wa vita vya ghuba 2003,Mohammed Saeed al-Sahaf. Tusimchukulie serious
View attachment 1379858
View attachment 1379876
Kweli huyu Prof Kabudi tulipigwa kabisa. Ni MWONGO sana hasa akiwasha yale macho yake. Jana kadanganya tena kuwa Tanganyika haikuwa na Wakili mzawa kabla ya uhuru. Jaji Samata akajibu kuwa walikuwapo wawili including Juma MawallaUkimsikiliza kwenye video clip hapo anasema Tanzania haiwezi kumpigia magoti beberu. Bunge la mwaka 2019;
Jana alikuwa huko Ubeberuni kumpigia magoti Under Secretary Of State Tibor Nagy ili kuboresha mazingira ya biashara na usalama, kwa ahadi ya fair and free elections.
My Take:
Prof Kabudi yuko kama yule Msemaji wa Saddam Hussein wakati wa vita vya ghuba 2003,Mohammed Saeed al-Sahaf. Tusimchukulie serious
View attachment 1379858
Kweli huyu Prof Kabudi tulipigwa kabisa. Ni MWONGO sana hasa akiwasha yale macho yake. Jana kadanganya tena kuwa Tanganyika haikuwa na Wakili mzawa kabla ya uhuru. Jaji Samata akajibu kuwa walikuwapo wawili including Juma Mawalla
Amerudi tena kutulisha matango pori