Sura Mbili za Kabudi; Akiwa Bungeni kama mbabe, akiwa kwa mabeberu kama omba omba

Nimeshasahau nilichotaka ku type mwanzoni


Ila huyo jamaa ni mshamba tu
 
Kweli huyu Prof Kabudi tulipigwa kabisa. Ni MWONGO sana hasa akiwasha yale macho yake. Jana kadanganya tena kuwa Tanganyika haikuwa na Wakili mzawa kabla ya uhuru. Jaji Samata akajibu kuwa walikuwapo wawili including Juma Mawalla
 
2025 ni mbali sana kwa Kabudi angeomba kyrudi majalalani kwake alikozoea
 
Kweli huyu Prof Kabudi tulipigwa kabisa. Ni MWONGO sana hasa akiwasha yale macho yake. Jana kadanganya tena kuwa Tanganyika haikuwa na Wakili mzawa kabla ya uhuru. Jaji Samata akajibu kuwa walikuwapo wawili including Juma Mawalla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…