Mkuu mi nina mawazo tofauti na wewe!! hivi unafikiri kila mtu ana bahati ya kupata zawadi? wengine wanakata hata mwaka mzima hakuna mtu aliyemkumbuka kwa zawadi!! na isitoshe zawadi huichagui anachagua anayekuletea.Kwa kuyasema hayo maneno unaondoa nafasi ya zawadi kwa mara nyingine, mtoaji anavunjika moyo, kumbuka amenunua kwa upendo huku akifikiria kukufuraisha, itamuumiza.
Da jamaa jasiri sana wewe.
Kabla ya hapo inabidi watu tujifunze kuwasoma wenzi/ndugu na marafiki zetu. Jua style yake ya mavazi na mapambo, vitu vya ndani, aiana ya mitoko mpaka na vyakula anavyopendelea.
Yani ukimpa mtu kitu huna wasiwasi moyoni, unajua kabisa atapenda tena sana.
BTT. . .ntashukuru ila ntamwambia haitonipendeza/haiendani na mimi. Ntajitahidi aelewe kwamba kanifurahisha sana japo siwezi kuivaa.
Hivi ikitokea mpenzi wako kaamua kukufanyia bonge la surprise kwa kukununulia zawadi,
We umetulia una watch TV mpenzi wako yupo chumbani mara akaja kutoka chumbani akakuambia "Supriiiiiiiiiiiise funga macho baby,usifungue mpaka nikuambie baada ya sekunde kadhaa akakuambia fungua macho,
Ghafla ukakutana na suti ambaye yeye anaamini utaipenda mno ila kiukweli wewe ku icheki hivi the way kitambaa chake kinang'aa hukuifurahia.
Sasa utafanayaje huku mleta zawadi keshafungua mikono yote miwili anasubiri hug la nguvu na thanks darl nyingi?
Na hata baada ya kushukuru utadhubutu kumwambia haujaifurahi zawadi na huku yeye anataka uivae Jumapili inayofuata.
Ukiwa umempa hug anakuambia nilijua tu honey utaipenda yaani nimepata shida kuitafuta mpaka nikaipata hii.
Na si lazima iwe suti huu ni mfano tu,
Assume ni zawadi yeyote umeletewa ikawa hivi utafanyaje?
hii ni very good thread kwa wanawake
most ya zawadi zao huwa hivyo...
unaletewa shati la njano au pink...
unajifanya tu kufurahi lol
Jamani thats not right, ufurah huku hujaipenda, u dont hav to dis appoint ur partner bt with time u should talk about i so as not to repeat again.
SWALI;- kwa wanaume jee? mara zote mnaleta zawadi kwa wapenzi wenu wanazozifurahia? au ndo huwa HAZIPO KABISA? NOTE that wanawake r very good actress......?
kuna zawadi ambazo
kila mwanamke anazipenda
jewels..hasa gold lol