Surpriiiiiiiiise my dear!

Surpriiiiiiiiise my dear!

Mkuu mi nina mawazo tofauti na wewe!! hivi unafikiri kila mtu ana bahati ya kupata zawadi? wengine wanakata hata mwaka mzima hakuna mtu aliyemkumbuka kwa zawadi!! na isitoshe zawadi huichagui anachagua anayekuletea.Kwa kuyasema hayo maneno unaondoa nafasi ya zawadi kwa mara nyingine, mtoaji anavunjika moyo, kumbuka amenunua kwa upendo huku akifikiria kukufuraisha, itamuumiza.

Nimekuelewa mkuu, tatizo mimi siwezi kujifanyisha (pretender) mara nyingi najaribu kuwa mkweli na wala huwa sifikirii mtu/watu watanifikiriaje. Ukweli umuweka mtu huru.
 
Da jamaa jasiri sana wewe.

Manuu, ukweli na uaminifu humfanya mtu kuwa huru na kupata mafanikio katika maisha. Jaribu kuwa hivyo halafu baada ya miaka kadhaa utagundua ninachokisema.
 
Kabla ya hapo inabidi watu tujifunze kuwasoma wenzi/ndugu na marafiki zetu. Jua style yake ya mavazi na mapambo, vitu vya ndani, aiana ya mitoko mpaka na vyakula anavyopendelea.

Yani ukimpa mtu kitu huna wasiwasi moyoni, unajua kabisa atapenda tena sana.

BTT. . .ntashukuru ila ntamwambia haitonipendeza/haiendani na mimi. Ntajitahidi aelewe kwamba kanifurahisha sana japo siwezi kuivaa.

kweli kabisa Lizzy
 
Hivi ikitokea mpenzi wako kaamua kukufanyia bonge la surprise kwa kukununulia zawadi,
We umetulia una watch TV mpenzi wako yupo chumbani mara akaja kutoka chumbani akakuambia "Supriiiiiiiiiiiise funga macho baby,usifungue mpaka nikuambie baada ya sekunde kadhaa akakuambia fungua macho,
Ghafla ukakutana na suti ambaye yeye anaamini utaipenda mno ila kiukweli wewe ku icheki hivi the way kitambaa chake kinang'aa hukuifurahia.

Sasa utafanayaje huku mleta zawadi keshafungua mikono yote miwili anasubiri hug la nguvu na thanks darl nyingi?

Na hata baada ya kushukuru utadhubutu kumwambia haujaifurahi zawadi na huku yeye anataka uivae Jumapili inayofuata.
Ukiwa umempa hug anakuambia nilijua tu honey utaipenda yaani nimepata shida kuitafuta mpaka nikaipata hii.

Na si lazima iwe suti huu ni mfano tu,
Assume ni zawadi yeyote umeletewa ikawa hivi utafanyaje?

Utaipokea na kuingelea kiukweli ili wakati mwingine asirudie tena itauma mara ya kwanza ila next time na next time itakuwa raha tupu. Katika mazungumzo kila mmoja amwambie mwenzie ukweli kwamba napendelea vitu hv na vile au nikiletewa vitu hv au vile am going crazy....

Kila shetani na mbuyu wake, thank God naufaham wa kwangu baada ya kupata shuruba mara mbili kipindi cha mwanzo. Nilijitutumua kununua gifts aiseee zilipokelewa vizuri ila zikawekwa kabatini huku naona na hazikutumiwa hata, nilikuwa mdogo ila sikukubali nikavunja ukimya na kuongelea issue nzima. Sasa hivi kutoa zawadi na kupokea zawadi ni raha tupu na utamu wa zawadi ni kutoa na kupokea, kwani RAHA YA MAPENZI NI KUPEANA
 
hii ni very good thread kwa wanawake

most ya zawadi zao huwa hivyo...

unaletewa shati la njano au pink...

unajifanya tu kufurahi lol

Jamani thats not right, ufurah huku hujaipenda, u dont hav to dis appoint ur partner bt with time u should talk about i so as not to repeat again.
SWALI;- kwa wanaume jee? mara zote mnaleta zawadi kwa wapenzi wenu wanazozifurahia? au ndo huwa HAZIPO KABISA? NOTE that wanawake r very good actress......?
 
Jamani thats not right, ufurah huku hujaipenda, u dont hav to dis appoint ur partner bt with time u should talk about i so as not to repeat again.
SWALI;- kwa wanaume jee? mara zote mnaleta zawadi kwa wapenzi wenu wanazozifurahia? au ndo huwa HAZIPO KABISA? NOTE that wanawake r very good actress......?

kuna zawadi ambazo
kila mwanamke anazipenda
jewels..hasa gold lol
 
kuna zawadi ambazo
kila mwanamke anazipenda
jewels..hasa gold lol

hehhehehhe u may be right or u may be wrong, kama jewels zimejaa kwene dressing table we january december zawadi ni jewel tuu ukibadilisha inanoga. Hehee kwa miye ninayependa kikuku...... lol
 
kutokumvunja moyo naivaa mara moja najikazzzzzaaaaaaaaaaaaa then sivai tena
 
The boss nimecheka sana,kwamba shati la pink dah!!
 
Back
Top Bottom