Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Waambie watu ambao hawajawahi labda kufika huko kenya hata nairobi tu hapo kuna watu kukamilisha milo mi 3 kwa siku ni kazi au mlo tu anaopeleka haukidhi kabisa viwango anapeleka sababu ya shida tuMchango wako wadhihirisha wakubaliana naye pakubwa, si lazima useme neno "nimekubali". Twamkana jamaa huyo na data zake kwani ni potovu. Umeona wapi maishani mwako picha au video ikionyesha watu wakifa njaa magharibi mwa Kenya? Ingekuwa labda kaskazini, pahali kama turkana singepinga kwani washawai kufa njaa hapo awali.