Suspicious of tribalism and ethnicity delays announcement of new cabinet.

Suspicious of tribalism and ethnicity delays announcement of new cabinet.

Linganisha utajiri wa Ruto na marais wote walio tawala Tanzania kuanzia Nyerere. Bila kujitajirisha tena tena kwa asilimia fulani kwa mali za wizi-wizi angefika hapo alipo leo? (Nadhani humyuwi Ruto)
Kweli simyuwi, wewe unamyua? Asee hicho si kikamba jombaa? Kama unamyua nieleze basi ili nami pia nimyuwe. 😀😀 Wewe ni myuayi sana. 😀😀
 
Kweli simyuwi, wewe unamyua? Asee hicho si kikamba jombaa? Kama unamyua nieleze basi ili nami pia nimyuwe. 😀😀 Wewe ni myuayi sana. 😀😀

Ukikosa hoja unakimbilia vihoja. Swali kwako, ni nani ameweza kushika nafasi ya juu Kenya bila kuwa na pesa nyingi? na hapo hatujauliza uhalali wa hizo pesa.
 
Ukikosa hoja unakimbilia vihoja. Swali kwako, ni nani ameweza kushika nafasi ya juu Kenya bila kuwa na pesa nyingi? na hapo hatujauliza uhalali wa hizo pesa.
Samahani jombaa, ila wewe ndo umevuruga mawazo yangu na hayo maneno yako ya kuyuana. 😀 Sijui kwanini unabadilisha gia angani. Ulisema Kenya hamna kiongozi mashuhuri aliyetoka kwenye familia ya kipato cha chini. Ulipoambiwa Ruto, ukaanza kusema kwamba sasa hivi yeye ni tajiri. J.K ni masikini hadi sasa? Mkapa je?
 
Samahani jombaa, ila wewe ndo umevuruga mawazo yangu na hayo maneno yako ya kuyuana. 😀 Sijui kwanini unabadilisha gia angani. Ulisema Kenya hamna kiongozi mashuhuri aliyetoka kwenye familia ya kipato cha chini. Ulipoambiwa Ruto, ukaanza kusema kwamba sasa hivi yeye ni tajiri. J.K ni masikini hadi sasa? Mkapa je?

Unashidwa kujibu swali, Ruto bila kujijengea utajiri tena wa "mashaka" angefika alilipo hapo? Hao kina JK, Mkapa kwa standard za viongozi wa Africa ni watu ambao huwezi kuwa weka kwenye kundi la viongozi matajiri. Shamba hapa na pale au nyumba hapa na pale sio sawa na Ruto anayemiliki mahoteli na viwanda ardhi ma eka na eka. Nikirudi kwenye swali lako kama Ruto amezaliwa kwenye unasikini, lakini bila kupita njia za panya na kujiimarisha kifedha asingepata hata kura moja. Angalia Tanzania Magufuli, school teacher, minister, president. Kikwete - army officer, party official, minister, president. Mkapa - news editor, minister, president. Mwinyi school teacher minister president. Nyerere ...well....historia inajieleza. Huwezi kupata equal opportunity kama hii ndani ya Kenya.
 
Mwanzi1 hujui siasa za Kenya, hela za Ruto amezipata juzijuzi tu. Kabla ya hapo ilikuwa ni nguvu za profesa wa siasa MO1, ndo zilikuwa zinamfikisha bunge. Au hata hujui historia yake? Ruto alikuwa muuza kuku. Tena hawker, my friend. We unasema kazi ya mwalimu ni ya umasikini? Ruto alikuwa anauza kuku kwenye stendi ya mabasi kule Eldoret town.
 
But Ruto’s massive empire, unshaken by hismulti-million weekly donations, may once again raise questions about the Hustler’s source of wealth.Ruto’s plush Eldoret home is almost three quarters done and the Chinese contractors are still on sight.
 
Mwanzi1 hujui siasa za Kenya, hela za Ruto amezipata juzijuzi tu. Kabla ya hapo ilikuwa ni nguvu za profesa wa siasa MO1, ndo zilikuwa zinamfikisha bunge. Au hata hujui historia yake? Ruto alikuwa muuza kuku. Tena hawker, my friend. We unasema kazi ya mwalimu ni ya umasikini? Ruto alikuwa anauza kuku kwenye stendi ya mabasi kule Eldoret town.
Sina haja ya kwenda mbali na huu mjadala, lakini siasa ya Kenya inajulikana bila hela huendi popote kisiasa. Ruto ni mfano mzuri sana wa kutokutoa fursa sawa kwa kila raia wa Kenya. Na hiyo inaenda ndani zaidi kiasi kwamba uongozi unatolewa kikabila, bila Moi Ruto asingefika alipo hapo, Moi+Ruto= Kalenjin. Tena inaenda mbali zaidi kwamba hela wanazo jitengenezea zinaishia kwenye mifuko ya rushwa kitu kinachozidi kunyima haki sawa kwa kila raia.
 
But Ruto’s massive empire, unshaken by hismulti-million weekly donations, may once again raise questions about the Hustler’s source of wealth.Ruto’s plush Eldoret home is almost three quarters done and the Chinese contractors are still on sight.
Now you have come back with actual arguments and not the previous egoistic am better than you opinions. I think the only diffrence between Kenyan and Tanzanian politicians is that your politicians stash majority of their wealth outside their country. They have an obsession with retaining a clean image while its clear most of them them live the glittery life.
 
Sina haja ya kwenda mbali na huu mjadala, lakini siasa ya Kenya inajulikana bila hela huendi popote kisiasa. Ruto ni mfano mzuri sana wa kutokutoa fursa sawa kwa kila raia wa Kenya. Na hiyo inaenda ndani zaidi kiasi kwamba uongozi unatolewa kikabila, bila Moi Ruto asingefika alipo hapo, Moi+Ruto= Kalenjin. Tena inaenda mbali zaidi kwamba hela wanazo jitengenezea zinaishia kwenye mifuko ya rushwa kitu kinachozidi kunyima haki sawa kwa kila raia.
Naona humpendi kabisa Ruto. Je JPM? John Paul Mwirigi aliyechaguliwa kama mbunge na wakenya kule Imenti, Meru County. Kijana mdogo sana hata kazi hakuwa nayo. Alifanya kampeni akizunguka na bodaboda na ile sweta yake moja. Ruto alipoingia siasa enzi hizo chama ndo kikikuwa kila kitu. Si kabila, si hela KANU tu. Ruto alijenga jina alipokuwa kwenye Y2K, Youth for KANU '92. Hapo ilikuwa 'loyalty' yako ndo inakujenga, kidole kimoja juu kwenda mbele. Wewe jombaa upo biased sana tu kwenye maswala yeyote kuhusu Kenya.
 
Naona humpendi kabisa Ruto. Je JPM? John Paul Mwirigi aliyechaguliwa kama mbunge na wakenya kule Imenti, Meru County. Kijana mdogo sana hata kazi hakuwa nayo. Alifanya kampeni akizunguka na bodaboda na ile sweta yake moja. Ruto alipoingia siasa enzi hizo chama ndo kikikuwa kila kitu. Si kabila, si hela KANU tu. Ruto alijenga jina alipokuwa kwenye Y2K, Youth for KANU '92. Hapo ilikuwa 'loyalty' yako ndo inakujenga, kidole kimoja juu kwenda mbele. Wewe jombaa upo biased sana tu kwenye maswala yeyote kuhusu Kenya.
Haha bias, sijakuona wewe ukuwa neutral hapa JF. Anyway John Paul Mwirigi akifikia kuwa rais wa Kenya bila kuwa tajiri kwanza ni-tag
 
Wakenya pamoja na civilization na elimu bado ujinga wa ukabila haujaishaa. Shame on you
 
Naskia huko kwenu anateuliwa kwa jinsi anaweza kuwashinda wenzake kumsifu JPM.
Ukichanganya akili ya viongozi wote wa Kenya wa Jubilee na Nassa hakuna anauwezo wa akili kama Rais Magufuli
 
Ukichanganya akili ya viongozi wote wa Kenya wa Jubilee na Nassa hakuna anauwezo wa akili kama Rais Magufuli
Hiyo ni kweli brother hakuna viongozi wenye uwezo wa kumfukia Magufuli Kwenye akili zake finyu na ndiyo sababu nashangaa kama Kiongozi ana akili finyu kama huyo wenu jee wananchi si ni kama wako in a big mental hospital called Tanzania. Adios loser...
 
Hiyo ni kweli brother hakuna viongozi wenye uwezo wa kumfukia Magufuli Kwenye akili zake finyu na ndiyo sababu nashangaa kama Kiongozi ana akili finyu kama huyo wenu jee wananchi si ni kama wako in a big mental hospital called Tanzania. Adios loser...
Mnashindwa hata kuunda baraza la mawaziri kwasababu ya ukabila you must understand Kenya ita explode next election kama mtalazimisha muuza kuku kuwa President
 
Hiyo ni kweli brother hakuna viongozi wenye uwezo wa kumfukia Magufuli Kwenye akili zake finyu na ndiyo sababu nashangaa kama Kiongozi ana akili finyu kama huyo wenu jee wananchi si ni kama wako in a big mental hospital called Tanzania. Adios loser...

Kenya is likely to slip into civil war if electoral theft or injustices by Uhuru is not aptly addressed to the core, this according to the EU mission report which Mr Kenyatta's illegitimate government refused to accept, openly rejected since it doesn't favour them in all aspects but rather opposition NASA and it's leader Raila Odinga.
The EU Parliament yesterday in a heated session debated upon Kenya's unresolved electoral problem in details and repercussions with MPs submissions from report mostly questioned the legitimacy of the whole process by IEBC. EU Parliament is keen to amicably see resolutions adopted to avert a major looming crisis able to take Kenya to the dogs.
Police brutality, IEBC malpractice and especially the Supreme court featured a great deal in the submissions with unanswered queries raised over it's conduct, if indeed it was compromised.
Mr Kenyatta and accomplice Ruto are two men spending sleepless nights one drowning in booze, with only two weeks left to Raila's planned swearing in, the report punched holes to their legitimacy in office. Very catastrophic.
Further, one EU MP stated in clear audible voice, that Kenya still doesn't have a complete government in place. As much as Uhuru would wish to bribe the ' electoral theft 'away or reign over discussions over same , this elephant is lose, already in the international arena and the world is watching. You can fool some people sometimes but you cannot fool all the people all the time.
 
Mnashindwa hata kuunda baraza la mawaziri kwasababu ya ukabila you must understand Kenya ita explode next election kama mtalazimisha muuza kuku kuwa President
Nyie waakilishi wa shetwan duniani mlisema kura ya 2013 Kenya itakuwa Somalia. Kura ya 2017 mkasema hivo hivo. Sasa mmeanza kutabiri ya 2022. Sijui mnajiona nyie ndo kina nani. Nchi yenu kwenye demokrasia bado mpo pale pale 1962. Shughulikeni na vya kwenu bana, Kenya ni ya wakenya.
 
Back
Top Bottom