Suspicious of tribalism and ethnicity delays announcement of new cabinet.

2007 miliuana vibaya 2013 na 2017 Raila amezuia lakini 2022 Raila hatakuwepo. Kenya ni very very shameful country uchaguzi umeisha badala ya kuwatumikia wananchi serikali ya Jubilee inaanza kujipanga jinsi ya kuwaibia NASA kura 2022.
Sasa hivi hali ya maisha ya mkenya ipo juu unga na mafuta imepanda bei sana.
Kwa kutuita watanzania mashetani inabidii uwaiite hao viongozi wa Jubilee mashetani wakubwa
 
Ndo maana nakuambia ushughulike na siasa zenu Kenya ni yetu sisi wakenya. Tukitaka kumchagua shetani mwenyewe awe rais wa nchi yetu tutamchagua tu. Wala hata maoni yako hakuna atakaye yasikiza. Kama bei ya unga na mafuta imepanda ingia kwenye biashara hiyo uchape hela. Au kama Kenya inakuuma sana kajitie kitanzi.
 
Mnashindwa hata kuunda baraza la mawaziri kwasababu ya ukabila you must understand Kenya ita explode next election kama mtalazimisha muuza kuku kuwa President
Hata bila cabinet bado Huduma za Serikali zinaendelea na maisha ni kama kawaida yani kuchapa kazi still maintaining the title of the most developed country in East and Central Africa.
 
Hahahahahahaha najuwa ulingoja sana Tuingie Kwenye vita 2017 ili muipiku Kenya lakini wapi, Mungu si athumani na pole Tena sana is a mkono haudondoki.
 
Hahahahahahaha najuwa ulingoja sana Tuingie Kwenye vita 2017 ili muipiku Kenya lakini wapi, Mungu si athumani na pole Tena sana is a mkono haudondoki.
Nawashangaa sana hawa malofa. Najaribu kufikiria Kenya tungechapa kila kitu kwenye nchi yetu pause, tukingoja mabaya yatendeke kwa jirani ili tufaidi kama wanavofanya wao. Tungekuwa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…