Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
Nimepokea taarifa leo asubuhi kuwa member mwenzetu Susy amefiwa na Dada yake aliyekuwa akiishi Gongo la mboto.
Msiba huo umetokana na madhara ya mabomu yaliyotokea gongo la mboto.
Taarifa za msiba ulipo nitawafahamisha hapo baadae.
Bwana alitoa Bawana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
DA
Msiba huo umetokana na madhara ya mabomu yaliyotokea gongo la mboto.
Taarifa za msiba ulipo nitawafahamisha hapo baadae.
Bwana alitoa Bawana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
DA