Mbegu Kilewa
Member
- Jul 18, 2012
- 37
- 22
Nataka kuifanya iwe pickup ya biashara au private uses like townace ..Unaibadili ili iweje? Maana hamchelewi kuibebesha saruji..
Kama ni urembo tu, go for samurai! Funga rim kali, tairi pana, mbele antena moja ndefu!
Usiichafue tu na mastika ya hovyo hovyo..
Daaah! Mkuu ngoja waje wataalam..Nataka kuifanya iwe pickup ya biashara au private uses like townace ..
Je inawezekana!?
Asante ..Daaah! Mkuu ngoja waje wataalam..
Umetishaaaa saaanaa mzeee baba..
Duuuhh ..Unaibadili ili iweje? Maana hamchelewi kuibebesha saruji..
Kama ni urembo tu, go for samurai! Funga rim kali, tairi pana, mbele antena moja ndefu!
Usiichafue tu na mastika ya hovyo hovyo..
Mods mbona watu wanafanya tu mkuu! Sema ulipo watu wakuelekeze kazi zinapofanyika..Duuuhh ..
Ivi humu JF hakuna wataalam wa modification..
Wazee wa practical..
Maana naona wengi ni theoritical[emoji23][emoji23]
Hii naijuwa vizuri sana hio 6×6 ya jamaa yangu mmoja yupo morogoro town ,mtaa wa mtoni karibu kabisa na sabasaba road..Mods mbona watu wanafanya tu mkuu! Sema ulipo watu wakuelekeze kazi zinapofanyika..
View attachment 2419811View attachment 2419814
Kwa sasa nipo mwanza aiseeeMods mbona watu wanafanya tu mkuu! Sema ulipo watu wakuelekeze kazi zinapofanyika..
View attachment 2419811View attachment 2419814
[emoji23][emoji23][emoji23]Mods mbona watu wanafanya tu mkuu! Sema ulipo watu wakuelekeze kazi zinapofanyika..
View attachment 2419811View attachment 2419814
Bongo hamna kinachoshindikana mkuu![emoji23][emoji23][emoji23]
Mark x pickup ..
Bongo noumaaaa[emoji23][emoji23]
Asaante sana kaka[emoji120]Bongo hamna kinachoshindikana mkuu!
Nilikuwa nakutafutia picha za magari mengine yaliyogeuzwa pick up ila sijazipata..
Kuna mahali kule Mbeya, nilikuta watu watatu wanajenga body ya bus la kampuni fulani iliyokuwa inafanya safari zake kati ya mbeya na sumbawanga!!Asaante sana kaka[emoji120]
Nashukuru sana hata ivyo kwa respond yako[emoji3]..
Kumbe hata magari tukiiamua na tunaweza tengeneza wenyewe kabisa
Huwa najiulizagu tu shida ipogo wapi..Kuna mahali kule Mbeya, nilikuta watu watatu wanajenga body ya bus la kampuni fulani iliyokuwa inafanya safari zake kati ya mbeya na sumbawanga!!
Bongo watu wanamaarifa mkuu basi tu..
Ku'assemble kwenye gereji zetu inafanyika kwa staili ya kufufua!Huwa najiulizagu tu shida ipogo wapi..
Mfano..
Injini zipo.
Chasiss zipo..
Gearbox zipo..
Diff zipo ..
Spring,shockup na vikorokoro vya chini vyote vipo
Material ya kutengeneza body yapooo..
TUNAKWAMA WAPI KUTENGEZA GARI JAPO KWA KUUNGAUNGA ( ASSEMBLE )
Yaap good .Ku'assemble kwenye gereji zetu inafanyika kwa staili ya kufufua!
Kuna gereji moja huko singida inaitwa SEMA, inaweza kuwa ni miongoni mwa gereji bora sana katika kufufua magari yaliyokufa!!
Wamefufua lori moja lililopata ajali mbaya sana mpaka chassis ikapinda..
Walisambaza kila kitu kisha wakalijenga upya kwenye chassis nyingine!!
Ukiliona hilo lori utahisi ndiyo limefika kutoka UK!!!
tatizolipo kwa serikal mtu akitaka kuanzisha project flani ndio wanaanza kukusanya kodi vizuri ndio maana uwekezaji kwetu ni shida na utaendelea kua shida mpaka tufe kizaz chote maoni yangu mtanzania akianzisha project ifuatiliwe mpaka itakapoanza tengeneza profity ndio waanzishe kodi zao zoteHuwa najiulizagu tu shida ipogo wapi..
Mfano..
Injini zipo.
Chasiss zipo..
Gearbox zipo..
Diff zipo ..
Spring,shockup na vikorokoro vya chini vyote vipo
Material ya kutengeneza body yapooo..
TUNAKWAMA WAPI KUTENGEZA GARI JAPO KWA KUUNGAUNGA ( ASSEMBLE )
[emoji23][emoji23][emoji23]tatizolipo kwa serikal mtu akitaka kuanzisha project flani ndio wanaanza kukusanya kodi vizuri ndio maana uwekezaji kwetu ni shida na utaendelea kua shida mpaka tufe kizaz chote maoni yangu mtanzania akianzisha project ifuatiliwe mpaka itakapoanza tengeneza profity ndio waanzishe kodi zao zote