Mbegu Kilewa
Member
- Jul 18, 2012
- 37
- 22
Habari zenu wana JF,
Natamani kufanya conversion ya SUV kuwa pickup..(10ft longbase)
Kati ya suzuki
Escudo (anytype)
Samurai (anytype)
Naomba ushauri wenu vitu vya msingi vya kuzingatiaa,uwezekano wake,changamoto na madhara yake kama yapo pia.
Ahsante.
Natanguliza shukrani kwa mchango na mchanguo wowote
Natamani kufanya conversion ya SUV kuwa pickup..(10ft longbase)
Kati ya suzuki
Escudo (anytype)
Samurai (anytype)
Naomba ushauri wenu vitu vya msingi vya kuzingatiaa,uwezekano wake,changamoto na madhara yake kama yapo pia.
Ahsante.
Natanguliza shukrani kwa mchango na mchanguo wowote