and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Dec 26, 2021 Thread starter #121 Smart911 said: Ipo vizuri... Click to expand... Gari ya kazi
ElonMusk Senior Member Joined May 2, 2017 Posts 159 Reaction score 182 Dec 26, 2021 #122 gari ya kwanza kuendesha,nljkuta male,kitambo kidogo chato,nzuri sana.
E establishment JF-Expert Member Joined Jun 27, 2015 Posts 1,632 Reaction score 2,435 Apr 9, 2022 #123 ElonMusk said: gari ya kwanza kuendesha,nljkuta male,kitambo kidogo chato,nzuri sana. Click to expand... Hizi gari nadra kuzikuta Zenji
ElonMusk said: gari ya kwanza kuendesha,nljkuta male,kitambo kidogo chato,nzuri sana. Click to expand... Hizi gari nadra kuzikuta Zenji
E establishment JF-Expert Member Joined Jun 27, 2015 Posts 1,632 Reaction score 2,435 Apr 11, 2022 #124 Hizi gari hazitaruhusiwa kuingia Tena nchini maana zimetengenezwa miaka zaid ya 10.
C clasi JF-Expert Member Joined May 5, 2013 Posts 379 Reaction score 716 Nov 6, 2022 #125 Magari damu said: [emoji23][emoji23]unaijua ist new model kweli?wewe unataja bei ya ist ya 2006. New model ya ist inachuana bei na akina qashqai uko hadi 18m.. Click to expand... IST new model ya 2022??
Magari damu said: [emoji23][emoji23]unaijua ist new model kweli?wewe unataja bei ya ist ya 2006. New model ya ist inachuana bei na akina qashqai uko hadi 18m.. Click to expand... IST new model ya 2022??
robert sendabishaka JF-Expert Member Joined Dec 11, 2015 Posts 3,111 Reaction score 3,294 Nov 8, 2022 #126 Ndalilo said: Hivi yale malori ya Dangote, nini kimefanyika mpaka wamewenza kuweka mitungi ya gesi? Inawezekana yalikuwa ni ya petrol? Click to expand... Nimependa staili yako ya kuhoji/kuaibisha bila kumkera mtu.
Ndalilo said: Hivi yale malori ya Dangote, nini kimefanyika mpaka wamewenza kuweka mitungi ya gesi? Inawezekana yalikuwa ni ya petrol? Click to expand... Nimependa staili yako ya kuhoji/kuaibisha bila kumkera mtu.