Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Oswald Mang'ombe Campus
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayo we, mie nilikuwa nafikiria kuweka gesi kwenye ngalangala langu(xtrail), kumbe gari ya turbo haifai!! [emoji848][emoji86]Hio gari ni 2.0 TD means gari ya diesel yenye turbo haifai kwa gesi
Ishu ni diesel! Kama petrol lolote unaweka mtungi tu.Mayo we, mie nilikuwa nafikiria kuweka gesi kwenye ngalangala langu(xtrail), kumbe gari ya turbo haifai!! [emoji848][emoji86]
Gas inafungwa kwenye gari za diesel piaYeah sidhani kama inaungua kwenye engine ya diesel!
Hapana gas hata kwenye gari ya diesel inawekwa !!! Next time ukiona truck ya Dangote ina mitungi ya Cng , itakuwa ni gas powered, na engine ni turbocharged diesel ya HowoMayo we, mie nilikuwa nafikiria kuweka gesi kwenye ngalangala langu(xtrail), kumbe gari ya turbo haifai!! [emoji848][emoji86]
Gas inatumika pia kwenye diese worldIshu ni diesel! Kama petrol lolote unaweka mtungi tu.
Gari ya diesel unaweza kuifungia mfumo wa gesi pia ila itakulazimu kuacha mfumo wa awali wa diesel.Ishu ni diesel! Kama petrol lolote unaweka mtungi tu.
Exactly Lazima mfumo wa diesel uwepo kwanza. Diesel powered engine haziignite kwa spark bali fuel heat compressionHapana gas hata kwenye gari ya diesel inawekwa !!! Next time ukiona truck ya Dangote ina mitungi ya Cng , itakuwa ni gas powered, na engine ni turbocharged diesel ya Howo
Sema plumbing ya gas kwenye diesel engine ni very complex na expensive, plus , gas haiwezi kufanya combustion peke yake ,(stand alone ,) kama inavyofanya kwenye petrol engines
Yes, kwenye gari za dangote nimeona, nilikuwa nahitaji maelezo ya ziada toka kwake, labda kuna jambo analijua zaidi ya haya niyaonayo mimi..Hapana gas hata kwenye gari ya diesel inawekwa !!! Next time ukiona truck ya Dangote ina mitungi ya Cng , itakuwa ni gas powered, na engine ni turbocharged diesel ya Howo
Sema plumbing ya gas kwenye diesel engine ni very complex na expensive, plus , gas haiwezi kufanya combustion peke yake ,(stand alone ,) kama inavyofanya kwenye petrol engines
Gari yangu ni diesel.Ishu ni diesel! Kama petrol lolote unaweka mtungi tu.
Gari ya diesel?Asante Mkuu. Nilienda DIT wakaniambia niandae 2.4m TZS ndani ya siku 3 watakua wamekamilisha
Maroli ya Dangote Cement yanatumia gas,kati ya tela na cabin hua kuna mitungi ya gas na yanatumia diselYeah sidhani kama inaungua kwenye engine ya diesel!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Suzuki Swift Ni mkokoteni wenye injini
Ha ha haMoshi zimejaa Escudo old model. Wachaga bahili Sana