Suzuki Grand Vitara: SUV Kiboko ya Mizigo

Suzuki Grand Vitara: SUV Kiboko ya Mizigo

Suzuki Grand Escudo huwezi kulinganisha na ujinga Subira
We nae ni chenga tuu...hamna kitu. Sasa Subaru unailinganisha na escudo kwenye aspect gani yani? Hakuna kitu ambacho escudo imezidi subaru zaidi ya seats tu kua nyingi.
Labda subaru ya kulinganisha na escudo ni legacy ila sio forester za kuanzia 2009
 
[emoji23][emoji23]unaijua ist new model kweli?wewe unataja bei ya ist ya 2006. New model ya ist inachuana bei na akina qashqai uko hadi 18m..
Si unauona ulivyo na ujuaji feki?Hayo ya IST 2006 nimeandika wapi.?Hujaona hapo nimemchora aliposema anaweza akapata ist new model kwa 12m.?

Still AMATUER.
 
Back
Top Bottom