Suzuki Grand Vitara: SUV Kiboko ya Mizigo

Suzuki Grand Vitara: SUV Kiboko ya Mizigo

Hii Kuna ndugu yangu alirydi nayo toka masomoni UK kwa mbwembwe nyingi. Baada ya mwaka akaiuza kwa madai Spea zake Bei ni kubwa Sana. Sasa anapambana na ISTbya kulenga kwa dalali Magomeni

Nitajie gari tofauti na Toyota ambayo spea zake ni bei rahisi.

Unajua bei ya ignition coil pack mbili za suzuki swift m13a?
 
Mnona Magari ya Fangote yanatumia gesi?
Yeah sidhani kama inaungua kwenye engine ya diesel!
1631051935104.png
 
Hii Kuna ndugu yangu alirydi nayo toka masomoni UK kwa mbwembwe nyingi. Baada ya mwaka akaiuza kwa madai Spea zake Bei ni kubwa Sana. Sasa anapambana na ISTbya kulenga kwa dalali Magomeni
Kuna jamaa yangu juzi kati kavaba yale lr discover ya kwa chris lukosi,namuombea sana ile gari isianze kumsumbua
 
Back
Top Bottom