Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Uber chukua IST au Belta vinginevyo unatafuta ugonjwa wa ngiri ukubwaniMkuu kwa nini maana nina mpango wa kuinunua ifanye Uber je iko na matatizo yoyote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uber chukua IST au Belta vinginevyo unatafuta ugonjwa wa ngiri ukubwaniMkuu kwa nini maana nina mpango wa kuinunua ifanye Uber je iko na matatizo yoyote?
Mbona kuna ambao wanazitumia inakuaje hawa watu wana saviourUber chukua IST au Belta vinginevyo unatafuta ugonjwa wa ngiri ukubwani
Usiige kunya kwa tembo ndugu. Hujakatazwa umepewa tahadhari tu. Yakikukuta ulie kimya kimya usiseme hukuambiwaMbona kuna ambao wanazitumia inakuaje hawa watu wana saviour
Da hatari kweli bro je vip kuhusu funcargo na brands za honda!?Usiige kunya kwa tembo ndugu. Hujakatazwa umepewa tahadhari tu. Yakikukuta ulie kimya kimya usiseme hukuambiwa
Afadhali funcargo kuliko Swift au HondaDa hatari kweli bro je vip kuhusu funcargo na brands za honda!?
Mbona watu wanayasifia magari ya honda kubwa ni magumuAfadhali funcargo kuliko Swift au Honda
Niliwahi kuwa Suzuki Swift (old model) likawa linazingua clutch baadae gearbox Mara makelele ukiendesha siki likazima pale Ubungo mataa kimasikhara. Fundi kuja akalikagua akatafuta Gari ya kuvuta mpaka gereji kwake aisee nikaletewa bill 2.1m kijinga.Da hatari kweli bro je vip kuhusu funcargo na brands za honda!?
Duniani humu Kuna Gari lisilo gumu?Mbona watu wanayasifia magari ya honda kubwa ni magumu
Kweli ila tunaangalia unafuu mkuu sasa ulifika wapi nalo ilo gari Suzuki mkuu!Duniani humu Kuna Gari lisilo gumu?
Swift nilimuuzia dalali pale Biafra kwa 1.8m nae akamshikishe mlugaluga huko likamfieKweli ila tunaangalia unafuu mkuu sasa ulifika wapi nalo ilo gari Suzuki mkuu!
Kama unajiweza mfukoni Gari yoyote unaendesha bila matatizo. Balaa Ni kwa sisi tunaounga-ungaMaana nimetokea kulipenda muonekano wake wa ndani kwa hizi za latest model kuazia za 2010 kuna ambazo hazitumii key for start nimpenda huo muundo
Duu bei ya hasara sana mkuu au labda walikuuzia gari mbovu kutoka Japan je uko compare kwa matusi iliyokumba nayo na wenzako wenye nazo je kunahitaji wowoteSwift nilimuuzia dalali pale Biafra kwa 1.8m nae akamshikishe mlugaluga huko likamfie
Budget ni yakawaida mkuu sema ninawazo kuwaniagize kutoka Japan kuliko kununua used DarKama unajiweza mfukoni Gari yoyote unaendesha bila matatizo. Balaa Ni kwa sisi tunaunga-unga
Yap. Ukiweza ku-time zile Offer za Be Forward wanakuaga na Gari nzuri kwa Bei Chee. Niliwahi kubahatisha IST kwa 1600 USD (CIF) inazungusha Uber mwaka wa pili sasaBudget ni yakawaida mkuu sema ninawazo kuwaniagize kutoka Japan kuliko kununua used Dar
Sijakuelewa hapa bro. Au ndo k-vant imeanza kufanya kazi?Duu bei ya hasara sana mkuu au labda walikuuzia gari mbovu kutoka Japan je uko compare kwa matusi iliyokumba nayo na wenzako wenye nazo je kunahitaji wowote
Hiyo 1600 ni pamoja na delivery? Je vip kuhusu ushuru!Yap. Ukiweza ku-time zile Offer za Be Forward wanakuaga na Gari nzuri kwa Bei Chee. Niliwahi kubahatisha IST kwa 1600 USD (CIF) inazungusha Uber mwaka wa pili sasa
CIF=cost, insurance and freight....kutoa ilinigharimu 8.2m TZS mazagazaga yote (Kodi, bandarini + agent)Hiyo 1600 ni pamoja na delivery? Je vip kuhusu ushuru!
Mbona iko poa sana ina maana kama unataka new model IST kwa 12mil naweza kuipata broCIF=cost, insurance and freight....kutoa ilinigharimu 8.2m TZS mazagazaga yote (Kodi, bandarini + agent)
Ndo maana nikakuambia use unapitia website ya beforward (www.beforward.jp) wanakuaga na offer kila wakati. Jichange zikitokea nitakustuaMbona iko poa sana ina maana kama unataka new model IST kwa 12mil naweza kuipata bro