Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali sio gari personal , gari moja linaweza kuendeshwa na madereva hata 10 ,Mbona gari nyingi za serikali ni manual
Hata mie nilipenda sana manual , enzi hIzo land rover 109 na 504, auto hazikuwepo. Laini kadiri umri unavyosonga auto zinazidi kuwa refined na kuwa nzuri zaid .sioni tena sababu ya kuhangaika na clutch pedalI love manual cars, siyo ya kwanza. Nilishawahi kuwa na Renault KWID. Nilipata mteja wa pesa nzuri nikauza.
Nayo ilikuwa imported Tanzania 0KM
Utakua bado ni amatuer,ukikomaa utaenjoy.Manual inachosha sana mfano utoke dar mpaka mwanza asubuhi huamki
Akikomaa atakuja kuelewa mkuu.Na kitu hakijui manual kwa safari ndefu ndo tamu zaidi.
gari ya kindezi kweli ile, imekaa kama kashata, jembamba af refu😂😂😂😂😂RUSH NEW MODEL NDO MPANGO
unalinganisha small SUV na gari ambayo si SUV.Mataputapu vipi?
Advantage ya IST ni nafasi ndani na kuwa na milango mi4.
Jimny space ya abiria na swala la kupishana kupanda na kushuka.
Jimny inabebea wapi majani ya ng'ombe? Au huijui?Mkuu angalia ww unatak nn? Kama unafamilia IST ni bora ila kama huna chukua icho kizuzuk kama mtu uliestaafu vile.kwa ufupi IST is more classic than io gari ya shamba [emoji34].uwa wananunua wastaafu kwa ajili ya kubebea majani ya ng’0mbe
Inaonekana una connection na magari ya mashirika ya umma ama ngo’s. Ukipata LC Gx 105 nishtue.I love manual cars, siyo ya kwanza. Nilishawahi kuwa na Renault KWID. Nilipata mteja wa pesa nzuri nikauza.
Nayo ilikuwa imported Tanzania 0KM
Atakua anazungumzia suzuki Maruti kama zile za makampuni ya UlinziJimny inabebea wapi majani ya ng'ombe? Au huijui?
Manual gear ni nzuri kwa safari ndefu. Inaonekana wewe bado mgeni ndio maana inakuchoshaManual inachosha sana mfano utoke dar mpaka mwanza asubuhi huamki
Inaonekana una connection na magari ya mashirika ya umma ama ngo’s. Ukipata LC Gx 105 nishtue.
Usifanye masihara na ile machine. Wakurugenzi wanajiuza tu kwa bei ya kutupwa huko kwenye mashirika ya Umma na NGOsHiyo chuma ina roho ya paka sijawahi kuona maana hata mjukuu anaweza kuikuta ipi tu unatamba nayo
Usifanye masihara na ile machine. Wakurugenzi wanajiuza tu kwa bei ya kutupwa huko kwenye mashirika ya Umma na NGOs
Nazipa salute sana hizi gari. Upate mbichi kama hii hapa.Na kwangu mimi ile chuma hata V8 nakuachia maana ile ngoma porini ndio yenyewe