C chotera JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 6,560 Reaction score 15,864 Jul 30, 2021 #61 Mzee Kigogo said: Nazipa salute sana hizi gari. Upate mbichi kama hii hapa. View attachment 1873647 Click to expand... Acha mchezo kabisa halafu unaipiga carier juu utaisoma tena ukiweza ipe na mkonga uone shughuli yake
Mzee Kigogo said: Nazipa salute sana hizi gari. Upate mbichi kama hii hapa. View attachment 1873647 Click to expand... Acha mchezo kabisa halafu unaipiga carier juu utaisoma tena ukiweza ipe na mkonga uone shughuli yake
jimmykb197 JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 485 Reaction score 482 Aug 12, 2021 #62 ni ngumu said: Suziki jimny stability yake kwenye barabara mbaya sio nzuri Ni nyepesi sana na rahisi kupinduka km barabara mbaya,inauwezo ya kupita kwenye barabara zenye utelezi ila si salama kukimbiza sana ukiwa rough road. Click to expand... Sasa unakimbiza pasipo tahadhari? Kwa watu tunaoishi ndani ndani huko miundombinu bado siyo mizuri hii ndiyo gari rafiki
ni ngumu said: Suziki jimny stability yake kwenye barabara mbaya sio nzuri Ni nyepesi sana na rahisi kupinduka km barabara mbaya,inauwezo ya kupita kwenye barabara zenye utelezi ila si salama kukimbiza sana ukiwa rough road. Click to expand... Sasa unakimbiza pasipo tahadhari? Kwa watu tunaoishi ndani ndani huko miundombinu bado siyo mizuri hii ndiyo gari rafiki
Uhakika Bro JF-Expert Member Joined Mar 29, 2022 Posts 3,644 Reaction score 4,315 Mar 7, 2024 #63 NewGapi said: Hili ndiyo limekuwa linaniwazisha. Naamua kuchukua Jimny, ntaongeza Sedan badae. Click to expand... Ebhana nikonnect na hao wanaouzaga Suzuki Jimny kila baada ya miaka........ Na mi nnaitafuta hii gari aseee, hasa hii modeli ilokaa ki rangerange aaaaani😍
NewGapi said: Hili ndiyo limekuwa linaniwazisha. Naamua kuchukua Jimny, ntaongeza Sedan badae. Click to expand... Ebhana nikonnect na hao wanaouzaga Suzuki Jimny kila baada ya miaka........ Na mi nnaitafuta hii gari aseee, hasa hii modeli ilokaa ki rangerange aaaaani😍
Uhakika Bro JF-Expert Member Joined Mar 29, 2022 Posts 3,644 Reaction score 4,315 Mar 10, 2024 #64 Recap edit: Ki Jeep jeeepu Au ndo mnadai hizi bongo hazijafika?