Car4Sale Suzuki Swift mpya nauza kwa bei poa. Milioni saba na nusu tu.

Car4Sale Suzuki Swift mpya nauza kwa bei poa. Milioni saba na nusu tu.

Hiyo bei naona kama ni being rahisi sana, labda FOB zake ni zila za $300.
 
Hii gari ishasajiliwa kwa Number zetu za kawaida??
Ina Namba gani??
Imesajiliwa lini??
Weka details za kutosha kama
-Mileage,
-Engine Size,
-Transmission,
-Piga hata picha za Dashboard watu waone inafananaje, Radio yake etc

Yaani fanya kama unakua serious hivi kuliko kuweka tu Picha zilizokaa upande na Bei basi
 
Hii gari ishasajiliwa kwa Number zetu za kawaida??
Ina Namba gani??
Imesajiliwa lini??
Weka details za kutosha kama
-Mileage,
-Engine Size,
-Transmission,
-Piga hata picha za Dashboard watu waone inafananaje, Radio yake etc
Number bado ndio ipo kwenye mchakato jumatatu ijayo itakuwa tayari.
Mwaka 2002
Mileage 100000
Engine 1300

Ukitaka maelezo zaidi na picha zaidi piga namba hii 0718476238
Hii gari ishasajiliwa kwa Number zetu za kawaida??
Ina Namba gani??
Imesajiliwa lini??
Weka details za kutosha kama
-Mileage,
-Engine Size,
-Transmission,
-Piga hata picha za Dashboard watu waone inafananaje, Radio yake etc

Yaani fanya kama unakua serious hivi kuliko kuweka tu Picha zilizokaa upande na Bei basi
 
Toyota succeed iliyonyooka kama kuna mdau anayo pesa mfuko wa shat!!!!!!!!
 
Hii gari ishasajiliwa kwa Number zetu za kawaida??
Ina Namba gani??
Imesajiliwa lini??
Weka details za kutosha kama
-Mileage,
-Engine Size,
-Transmission,
-Piga hata picha za Dashboard watu waone inafananaje, Radio yake etc

Yaani fanya kama unakua serious hivi kuliko kuweka tu Picha zilizokaa upande na Bei basi
Picha zaid
20171014_150503.jpg
20171014_150418.jpg
20171014_150400.jpg
20171014_150427.jpg
20171014_150315.jpg
20171014_150315.jpg
 
Kuna Kitu Kimoja Umenishangaza aisee, bei unayouzia mbona iko chini??,
Sababu hizi gari tuseme Rough Estimate CIF with Inspection ni Kama
$1,200.00 x Tshs 2,250/$ = Tshs 2,700,000 CIF.
TRA Kodi na Usajili ni 4,376,741.62
Ukiweka Agency Fees, DO Charges, Wharfage, etc labda 800,000
Jumla = Tshs 7,876,741.62,

Hapo wewe unapata faida kiasi gani Mkuu wangu??
Niki adjust mwaka na Other Carges naweza ku sevu kama laki 2 hivi mpaka laki 5 kwenye kodi na other charges , still bado hainipi aisee.

upload_2017-10-14_15-50-26.png


upload_2017-10-14_15-50-42.png
 
Shark hiyo gari mimi najua kabisa kama napata hasara. Nimeona nikisema niweke bei yake halali kupata mteja kwa haraka ni ngunu. Ndio maana nimeweka bei ambayo nitapata mteja kwa haraka kwasababu hiyo pesa ninashida nayo
 
Back
Top Bottom