Car4Sale Suzuki Swift mpya nauza kwa bei poa. Milioni saba na nusu tu.

Car4Sale Suzuki Swift mpya nauza kwa bei poa. Milioni saba na nusu tu.

mkuu sapa utasumbuka kwa kuwa kitu kisha kuwa mkononi ni ngumu
 
Hilo ndio tatizo la kusoma nusu nusu mnaambiwa kukaa shule mna fanya mchezo unaelewa maana ya bei poa? Puuuuuumbavu utanunua mwenyewe
 
Hilo ndio tatizo la kusoma nusu nusu mnaambiwa kukaa shule mna fanya mchezo unaelewa maana ya bei poa? Puuuuuumbavu utanunua mwenyewe
Kama huna hela usiongee.. Hapa wanaongea wanaume wenye hela tu
 
Shark hiyo gari mimi najua kabisa kama napata hasara. Nimeona nikisema niweke bei yake halali kupata mteja kwa haraka ni ngunu. Ndio maana nimeweka bei ambayo nitapata mteja kwa haraka kwasababu hiyo pesa ninashida nayo
Hii gar bado IPO kaka?
 
Back
Top Bottom