Ahsante kiongozi. Tatizo la kula mafuta nini utatuzi wake.Licha ya hayo aliosema mkuu hapo juu kuna swala la cylinder head kupinda, engine block kutoboka, kupinda etc, swala la radiator kutobola, swala la oil cooler kwenye vile vidude vyake vya ndani kupata kutu etc kujua kama cylinder head ina shida weka coolant kwenye radiator halafu washa gari vuta resi ukiona mapovu mapovu kwa juu na maji yanaruka ruka fungua engine kaipime cylinder head kama imepinda kaipige pasi kama imepinda sana weka ingine pima na engine block hio
Kwanza nikuulize, Je huwa unaongeza coolant kwenye rejeta kila siku? Yaani kila siku ukifungua rejeta unaona coolant imepungua?Ahsante kiongozi, Mimi suala la gari kula mafuta tatizo ni mini kiongozi?
Hapana,mara nyingi huwa naongeza coolant kwenye reserve tank.Mkuu vipi kuhusu kupasuka kwa pipe ya return kunasababishwa na nini?Kwanza nikuulize, Je huwa unaongeza coolant kwenye rejeta kila siku? Yaani kila siku ukifungua rejeta unaona coolant imepungua?
Mimi kwa harakaharaka mkuu naweza sema kuna shida kwenye cooling system. Na uwezekano mkubwa ni ECT sensor kuwa kimeo japo ni kama tu huo ulaji wa mafuta unarelate na cooling system. Lakini hapo ni mpaka ipimwe.
Otherwise iangaliwe kwanza kama cyclinder head imepinda, au kama kuna leakage yoyote kwenye cooling system ambayo ipelekea gari kuoverheat.
Hapana,mara nyingi huwa naongeza coolant kwenye reserve tank.Mkuu vipi kuhusu kupasuka kwa pipe ya return kunasababishwa na nini?
Mkuu hiyo gari ni yakupiga bei Tu yaani Kwa kifupi kila kitu ni kibovu Kwenye hiyo gari alafu kumbuka gari yenyewe ni Suzuki.Cooling system ina shida.
Gasket Top Cover itakuwa imekufa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan w jamaa umenifanya niachie kicheko ambacho sikukitaji kabisa kwa siku ya leo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu, kwanini ulinunua hiki kigari? Ndicho kisababishi cha vifo vya wastafu wengi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan w jamaa umenifanya niachie kicheko ambacho sikukitaji kabisa kwa siku ya leo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kweli hizi gari zikianza matatizo ya kwenye injini na mifumo ya upoozaji, itakusumbua mpaka utaje jina lako halisi.mkuu ,hata kuna mzee jirani yangu anahii gari kila siku mbovu mpaka ameshakuwa fundi gereji[emoji1787] japo yeye hajastaafu.
Ila kweli hizi gari zikianza matatizo ya kwenye injini na mifumo ya upoozaji, itakusumbua mpaka utaje jina lako halisi...
wacha tu nicheke siku zisogee..[emoji23][emoji23][emoji23]Nakushauri uza hii gari, humu ndani sidhani kama kuna mtu anamiliki hii gari zaidi yako.