Lyambasa
Senior Member
- Sep 24, 2013
- 153
- 43
Wadau poleni na majukumu.Nina Suzuki Escudo Cc 1590.Matatizo ya gari hii yananichanganya Sana.Kwanza gari inachemsha Sana,Haina nguvu na Sasa inakula mafuta balaa Lita moja kwa km 2.
Pia Sasa imeanza mchezo wa kupasua pipe ya return Cha ajabu hata ukiwasha na kubaki silence tatizo bado lilelile.Wenye changamoto Kama yangu nijuzeni pa kuanzia.
Pia Sasa imeanza mchezo wa kupasua pipe ya return Cha ajabu hata ukiwasha na kubaki silence tatizo bado lilelile.Wenye changamoto Kama yangu nijuzeni pa kuanzia.