Swahiba92 live interview on muosha rungu live show!

Huyu mwanamke ni mtu wa deep state
Anawachora tu

Hapo hajaonyesha uwezo wake wote

I bet she is among the intelgent girl

Izo kuuza mpunga anazuga tu yupo air wings uko

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Hapana Mpendwa Mimi Napambana tu na Hali yangu mtaani, huku nakomaa na Biashara yangu ya kuuza Mchele pekee Huko unakonipeleka sipo kabisa me kwanza mshamba tu maeneo mengi tu sijafika hata Dar ni mwenyeji lakini siyo kihivyoo East Africa miji mingi tu sijafika Japo ndoto ni kupanua Biashara yangu na kuvuka border, me MTU wa kawaida sana mvuja jasho tu kama wengine, hata sijafikia level ya kuwa mfanyabiashara, me ni mjasiliamali tu.
 
Pitia maswali yote my

DJ sepetu
 
Nimekufatilia mwandiko wako unafana na watu wa deep state

Poa tuishie apa japo Nina mengi ya kukuambia

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
uchochezi.
 
haha yaani amechoka ana hema kwa shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…