Swahili Subtitles: Netanyahu amcharua Rais wa Ufaransa "Tutashinda vita hata mkikataa kutuuzia silaha aibu inawasubiri"

Swahili Subtitles: Netanyahu amcharua Rais wa Ufaransa "Tutashinda vita hata mkikataa kutuuzia silaha aibu inawasubiri"

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Mods tafadhalini msiunge huu uzi,

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amemkosoa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuhusu wito wake wa kuiwekea Israel vikwazo vya kuuziwa silaha (Arms Embargo).

  • Bajeti ya ulinzi ya Israel ni Dola Bilioni 30 (Shilingi Trilioni 82)
  • Marekani huisaidia Dola Bilioni 3 (Shilingi Trilioni 7)
  • Bajeti ya Israel kununua silaha za Ufaransa ni Dola Milioni 20 (Shilingi Bilioni 54)
  • Silaha nyingi zaidi Israel hununua Marekani

 
Mods tafadhalini msiunge huu uzi,

Rais wa Ufaransa ametangaza kuwawekea vikwazo Israel kwenye silaha wanazonunua Ufaransa

Ufaransa huwauzia Israel Silaha zenye thamani ya Dola milioni 20 (Shilingi bilioni 54 )

Bajeti ya ulinzi ya Israel kila mwaka ni Dola Bilioni 25 (Shilingi Trilioni 68) Silaha zake nyingi hununua Marekani


View attachment 3116794
Aibu iwe juu yake Netanyahu, maana Marekani hataki kumuunga mkono wenye ukorofi wake toka awali. Wafaransa washike hapo hapo!
 
Aibu iwe juu yake Netanyahu, maana Marekani hataki kumuunga mkono wenye ukorofi wake toka awali. Wafaransa washike hapo hapo!
"Tutashinda hata bila msaada wao"
  • wamemtungua rais wa Iran
  • wamemtungua kiongozi mkuu wa Hamas
  • Wamewatungua viongozi wawili wa Hezbollah ndani ya wiki hii
  • Wamelipusha Pagers za Hezbollah
 
Watu wengi wanafikiri Israel inapewa silaha bure na washirika wake wa Magharibi ila kiukweli wananunua na hakuna hata risasi moja inayopelekwa israel ambayo wanapewa bure...
 
Israel yenyewe intergenerational silaha za kutosha! Hata asipouziwa inajitoshereza!
 
Watu wengi wanafikiri Israel inapewa silaha bure na washirika wake wa Magharibi ila kiukweli wananunua na hakuna hata risasi moja inayopelekwa israel ambayo wanapewa bure...
Acha uongo. Marekani ndiye anayechangia asilimia kubwa ya bajeti ya silaha kwa Israel.

Marekani inaisaidia Israel na inatangaza wazi kuisaidia sio kuiuzia.

Utamuuziaje silaha mtu uliyemtengemeza mwenyewe ili alinde maslahi ya wazungu pale middle east?

Israel ni omba omba kama nchi nyingine za dunia ya tatu maana ni taifa la mchongo lililoanzishwa na wazungu kwa malengo yao.
 
Kabishane na Rais wa Ufaransa alietoa wito wa kuwawekea vikwazo kwenye mauzo
Sio silaha zote anauziwa na Mataifa ya Ulaya. Asilimia kubwa ya silaha ni msaada na washirika wake huwa wanasema wazi.
 
Israel yenyewe intergenerational silaha za kutosha! Hata asipouziwa inajitoshereza!
Yaani awe na silaha za kutosha halafu awe anaendekeza umatonya wake kwa mabwana zake Marekani na Ulaya?

Marekani ndiye anayeongoza kuipa msaada Israel uwe na kifedha ama silaha.

Israel hana hela ya kununua silaha bali anapewa ndio maana baadhi ya mataifa yamechoshwa na umatonya wake.
 
Mods tafadhalini msiunge huu uzi,

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amemkosoa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuhusu wito wake wa kuiwekea Israel vikwazo vya kuuziwa silaha (Arms Embargo).

  • Bajeti ya ulinzi ya Israel ni Dola Bilioni 25 (Shilingi Trilioni 68)
  • Marekani huisaidia Dola Bilioni 3 (Shilingi Trilioni 7)
  • Bajeti ya Israel kununua silaha za Ufaransa ni Dola Milioni 20 (Shilingi Bilioni 54)
  • Silaha nyingi zaidi Israel hununua Marekani

View attachment 3116813
Hajiwezi alafu anawatukana wanaomuezesha.
Rubbish.
 
Acha uongo. Marekani ndiye anayechangia asilimia kubwa ya bajeti ya silaha kwa Israel.

Marekani inaisaidia Israel na inatangaza wazi kuisaidia sio kuiuzia.

Utamuuziaje silaha mtu uliyemtengemeza mwenyewe ili alinde maslahi ya wazungu pale middle east?

Israel ni omba omba kama nchi nyingine za dunia ya tatu maana ni taifa la mchongo lililoanzishwa na wazungu kwa malengo yao.
  • Bajeti ya ulinzi ya Israel ni Dola Bilioni 30 (Shilingi Trilioni 82)
  • Marekani huisaidia Dola Bilioni 3 (Shilingi Trilioni 7)
Israel inanunua silaha nyingi zaidi Marekani kwa pesa yao ikiwemo ndege za F35 zinazouzwa dola milioni 100 (bilioni 270) na zikifika Israel wanazisuka upya kuweka Teknolojia zao,

Nikukumbushe ya kwamba uchumi wa israel licha ya kuwa kwenye vita ni dola Bilioni 564 (Trilioni elf 1 na bilioni 500), Ukiwatoa Qatar hakuna nchi yoyote ya kiarabu iliyoizidi uchumi ukitilia maanani size ya nchi na population.
 
Acha uongo. Marekani ndiye anayechangia asilimia kubwa ya bajeti ya silaha kwa Israel.

Marekani inaisaidia Israel na inatangaza wazi kuisaidia sio kuiuzia.

Utamuuziaje silaha mtu uliyemtengemeza mwenyewe ili alinde maslahi ya wazungu pale middle east?

Israel ni omba omba kama nchi nyingine za dunia ya tatu maana ni taifa la mchongo lililoanzishwa na wazungu kwa malengo yao.
Hivi hii chuki kwa Israel huwa inatokana na nini? Tuambiane ukweli sisi waswahili jama...
Ni nini hasa?

Watu hadi wanakufa wakiwa katika harakati za kuiangamiza Israel taifa pekee la wayahudi duniani...ilhali waarabu, waislamu, wakristo n.k wana mataifa yao mengi tu!

Hako kamoja ka wayahudi nako hakatakiwi, tatizo ni gani eti tujuzeni bandugu
 
Hivi hii chuki kwa Israel huwa inatokana na nini? Tuambiane ukweli sisi waswahili jama...
Ni nini hasa?

Watu hadi wanakufa wakiwa katika harakati za kuiangamiza Israel taifa pekee la wayahudi duniani...ilhali waarabu, waislamu, wakristo n.k wana mataifa yao mengi tu!

Hako kamoja ka wayahudi nako hakatakiwi, tatizo ni gani eti tujuzeni bandugu
Aulizwe Hitler, lkn hapo middle east wanataka taifa huru la Palestine kwa kuzingatia mipaka ya 1967 otherwise asipokubali vita haitoisha, nawala hatokaa kwa amani.
 
Hakuna mahala aliposema wawekee vikwazo kwenye mauzo bali ameshauri wasiwape wawekee vikwazo vyakutowapa Siraha.
Hiyo ufaransa inawauzia silaha Israel kwa asilimia ndogo sana yani huwezi kusema Israel inategemea silaha kutoka ufaransa, hizo nchi zote za ulaya haziwezi ifikia marekani kwa silaha inazopeleka Israel,
Kwahyo hata ufaransa ikigoma kupeleka silaha Bado haitaidhoofisha Israel kwenye vita vyake
 
Hiyo ufaransa inawauzia silaha Israel kwa asilimia ndogo sana yani huwezi kusema Israel inategemea silaha kutoka ufaransa, hizo nchi zote za ulaya haziwezi ifikia marekani kwa silaha inazopeleka Israel,
Kwahyo hata ufaransa ikigoma kupeleka silaha Bado haitaidhoofisha Israel kwenye vita vyake
Hawawauzii wanawapa msaada, neno kuwauzia litoe. Hata Joe Biden juzi kasema hakuna Raisi wa Marekan alielisaidia kulipa misaada taifa la Israel kama yeye, akasema mara tatu hakuna, hakuna, hakuna kama yeye.

Neno kuwauzia litoe sema kuwasiadia au kuwapa.
 
Back
Top Bottom