Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwenuUlitaka aende wapi?
Utampelekea ugali na mboga mezani?
ni yule anayejita simba kumbe swala 😀
S for Samia"S" for SHOGA
Ikulu mawasiliano ni ngumu kikeke nadhani amezaa na mzungu au alioa mzungu walikuwa wote BBC sasa hiyo ni sababu tosha inayomnyima credit ya kufanya kazi ikulu 100%, ikulu ni sehemu nyeti angelikuwa hajazaa au kuoa mzungu angepata hiyo nafasi.Huyo sio level ya Wasafi, ungeniambia Azam ama Ikulu mawasiliano sawa.
MaslaiYani kikeke alivyo na cv kubwa na akili kubwa kule usafini anaenda kushusha kiwango
Wasafi wanalipa kuzidi hukoHuyo sio level ya Wasafi, ungeniambia Azam ama Ikulu mawasiliano sawa.
Ile platform ni nzuri sanaWameisha tambulisha kuwa ni platform mpya ya Precision Air katika kutoa huduma pia kwa njia ya Whatsap au mitandao mingine ya kijamii.
Siku hizi Ikulu haina nyeti tena Kwan hujasikia inajengwa shopping mall kuuubwa Ikulu?Ikulu mawasiliano ni ngumu kikeke nadhani amezaa na mzungu au alioa mzungu walikuwa wote BBC sasa hiyo ni sababu tosha inayomnyima credit ya kufanya kazi ikulu 100%, ikulu ni sehemu nyeti angelikuwa hajazaa au kuoa mzungu angepata hiyo nafasi.
Unadhani itakuwa ndani ya ikulu au nje ya ikulu [emoji23][emoji23]Siku hizi Ikulu haina nyeti tena Kwan hujasikia inajengwa shopping mall kuuubwa Ikulu?