Swala la Feitoto Bado Kuna Giza Nene. Kipi kipo nyuma ya TFF mpaka msingi wa maamuzi kubaki gizani?

Kinatakiwa kifanyike namna gani?
 
Ngoja wataalamu wa kufukua makaburi waiweke halafu uone utakavyokuwa mdogo kama pirton. Ipo humu jukwaani kitambo tu.
Wakishaweka na mimi nitakuwekea kauli ya Lucy pia na wewe utakuwa mdogoo kama mbegu ya ufuta.
 
Tulitaka ufafanuzi wa kisheria kutoka Tff. Sio hisia binafsi. Wapi Feitoto alikiuka mkataba?
 
Swala tunataka Sheria itende haki. Mkatataba wake ulisema akitaka kuuvunja anawarudishia fedha ya usajili. Karudisha. Tff ifafanue kisheria alikosea wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…