William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Swala la kufundishwa Cha kuongea kisheria Ni kawaida Sana ili kukwepa makosa ya kisheria.
Ila je kilichoongelewa kina ukweli au la.
Je feitoto alidanganya. Haya yanaweza thibitishwa kisheria ili tujue ukweli.
1. Fedha ya usajili m 100 Kupewa kwa mafungu. Account yake itasema.
2. Sms za vitisho. Hizi zinasibitika wakifatilia kwenye mitandao. Kama uwongo ashitakiwe
Kwasababu swala lake liko mahakama za cas ilikuwa lazma kila anachoongea awepo wakili kupima makosa ya kisheria.
Ata wewe na Mimi hatupaswi kutoa tuhuma zozote ata Kama Ni za kweli kwa mtu bila kuwa na mwanasheria yasije kukuta ya musiba na membe
Ila je kilichoongelewa kina ukweli au la.
Je feitoto alidanganya. Haya yanaweza thibitishwa kisheria ili tujue ukweli.
1. Fedha ya usajili m 100 Kupewa kwa mafungu. Account yake itasema.
2. Sms za vitisho. Hizi zinasibitika wakifatilia kwenye mitandao. Kama uwongo ashitakiwe
Kwasababu swala lake liko mahakama za cas ilikuwa lazma kila anachoongea awepo wakili kupima makosa ya kisheria.
Ata wewe na Mimi hatupaswi kutoa tuhuma zozote ata Kama Ni za kweli kwa mtu bila kuwa na mwanasheria yasije kukuta ya musiba na membe