Swala la kutahiriwa kwa wanawake...mnasemaje?

Swala la kutahiriwa kwa wanawake...mnasemaje?

Mtumishi Max..Ubarikiwe sana..

Watu wana macho lakini hawaoni..

Nimeifuatilia hii clip ya hawa wanawake wa kifilisti kuna mmoja ametoa hoja kuwa hii mila ni ktk kumfanya mwanamke 'aweze kujihimili' on his husband's absence wakti akipigana Jihad.. na kwa sababu hizi vita havina mwongozo wa Kimungu huwa vinachukuaga hata muongo mzima.. Hoja ya huyu mama imeeleweka kwa upande wangu kwani it is logically-explainable haina punje ya chenga ndani yake, ungeileta wewe mtumishi Max, wangesema umejitungia na blah blah nyingine..

Kuhusu hawa wataleban ambao wanakuwa vitani (Jihad), na wanawake wao kukeketwa ili wasi-enjoy prevelages za uanamke on their absence, wao kwa upande wao mambo yao swaafi.. Wamepewa uhuru wa kufanya azl (coitus interruptus) kwa wanawake mateka (ubakaji), kufanya ufuska (ndoa za muda au prostitution) n.k .

Sasa nafikiri mwenye macho anaweza kuona nazungumzia nini.

Hoja ya msingi hapa ni kuwa, kuna watu ktk baadhi ya imaan wanapractice haya mambo kadr ya imaan yao, whether their imaan is false or not hilo ni suala jingine, lakini suala la deen linaingia hapa.


Was'alam
 
...Waislam ni watoto wa Mama wa kambo, na Baba yao kufuatana na Biblia ni Mbwa Mwitu-Ishmael. Wakati Wakristo ni watoto wa Mke halali wa Abraham.

Nadhani muhusika hapo juu, aidha ni mbumbu, hajui kusoma au ni mtu hasiyetaka kusoma na kuelewa ukweli uliopo. Majibu niliyotoa yanajieleza wazi.... Labda nirudie tena may be... may be... anaweza kuelewa... (Tafadhali zingatia maeneo niliyo Bold, may be unaweza ku'undestand jibu langu.

It appears that female circumcision is more a cultural practice than a matter of Islamic teachings. We Muslim we know that the hadith which maximba mentioned above refer to the practice are all weak and fake.

....The presence of that practice in Egypt, Tanzania, Nubia an other countries up to this day is just a continuation of a practice that has been around since the time of the Pharaohs. It is often hard for people to give up deeply ingrained customs and cultural practiced. They continue to be passed down from generation to generation. This is NOT Muslim customs...No mention of female circumcision is to be found in the Qur'an either directly or indirectly. There is NO known Hadith which requires female circumcision.

The Hadith quoted by maximba 1001% is FAKE. I'm real sorry for that...

Majibu yanajieleza, kuwa'quote hao wakina mama wa Ki'MASRI... ni sawa leo tuwanukuu MASHOGA wa KIKRISTO toka Kimarekani na Uingereza, ambao wamefunga ndoa makanisani... Unategemea watasema nini? Au unataka kunambia kuwa biblia imeruhusu ndoa za mashoga?

Lakini leo hii mashoga wangapi ni makasisi makanisani na wengi wamefunga ndoa za jinsia moja...!?

Hadithi iliyo nukuliwa hapo ni FAKE, haitambuliwi katika ulimwengu wa KIISLAM. Labda muhusika anaajenda yake.

Nimeshaeleza hapo juu kuwa kwenye Uislam hakuna jambo kama hilo. Halipatikani kwenye QUR'AN wala HADITH wala kwenye Tarekh. Na hadithi kama hizo zipo nyingi ambazo zimeingizwa na wale wanaopinga uislam. Tukiwauliza watuletee ushahidi wa Qur'an, wanalala mbele.

Hivi hamuwezi kuishi na kutangaza Ukristo mpaka mtumie uongo?

Kitu kingine ndugu yangu, nakushauri jaribu kuwaeshimu mitume wa M'Mungu. Ismael unaye mtukana hakuwai kuitwa Mbwa Mwitu... Hii ni sawa na kusema wale wanao mfuata Yesu wa biblia Ni Mbwa na Nguruwe maana ndivyo Yesu mwenyewe alivyo waita. Je utafurahi ukiitwa Nguruwe au mbwa mla makombo...!? Kuwa na adabu kijana.
 
hapa watumwa wote wa allah na mwamedi wakubali wameshikwa pabaya.
 
Nadhani muhusika hapo juu, aidha ni mbumbu, hajui kusoma au ni mtu hasiyetaka kusoma na kuelewa ukweli uliopo. Majibu niliyotoa yanajieleza wazi.... Labda nirudie tena may be... may be... anaweza kuelewa... (Tafadhali zingatia maeneo niliyo Bold, may be unaweza ku'undestand jibu langu.

It appears that female circumcision is more a cultural practice than a matter of Islamic teachings. We Muslim we know that the hadith which maximba mentioned above refer to the practice are all weak and fake.

....The presence of that practice in Egypt, Tanzania, Nubia an other countries up to this day is just a continuation of a practice that has been around since the time of the Pharaohs. It is often hard for people to give up deeply ingrained customs and cultural practiced. They continue to be passed down from generation to generation. This is NOT Muslim customs...No mention of female circumcision is to be found in the Qur'an either directly or indirectly. There is NO known Hadith which requires female circumcision.

The Hadith quoted by maximba 1001% is FAKE. I'm real sorry for that...

Majibu yanajieleza, kuwa'quote hao wakina mama wa Ki'MASRI... ni sawa leo tuwanukuu MASHOGA wa KIKRISTO toka Kimarekani na Uingereza, ambao wamefunga ndoa makanisani... Unategemea watasema nini? Au unataka kunambia kuwa biblia imeruhusu ndoa za mashoga?

Lakini leo hii mashoga wangapi ni makasisi makanisani na wengi wamefunga ndoa za jinsia moja...!?

Hadithi iliyo nukuliwa hapo ni FAKE, haitambuliwi katika ulimwengu wa KIISLAM. Labda muhusika anaajenda yake.

Nimeshaeleza hapo juu kuwa kwenye Uislam hakuna jambo kama hilo. Halipatikani kwenye QUR'AN wala HADITH wala kwenye Tarekh. Na hadithi kama hizo zipo nyingi ambazo zimeingizwa na wale wanaopinga uislam. Tukiwauliza watuletee ushahidi wa Qur'an, wanalala mbele.

Hivi hamuwezi kuishi na kutangaza Ukristo mpaka mtumie uongo?

Kitu kingine ndugu yangu, nakushauri jaribu kuwaeshimu mitume wa M'Mungu. Ismael unaye mtukana hakuwai kuitwa Mbwa Mwitu... Hii ni sawa na kusema wale wanao mfuata Yesu wa biblia Ni Mbwa na Nguruwe maana ndivyo Yesu mwenyewe alivyo waita. Je utafurahi ukiitwa Nguruwe au mbwa mla makombo...!? Kuwa na adabu kijana.


X Paster, thank you for consenting that Female Circumcision in Islam is more than a religion, and it has now become a custom and cultural practice of the NATION OF ISLAM. As Exhibited above by me. See You Tube for easy of reference.

Further, you have failed to support your defacto reply and continued to say that my narrative and exhibits are fake, without annexing watertight exhibits to support your lies.

Furthermore, you have willingly continued to tell lies, while knowingly, grasply and consciously comprehended that, the Hadith qouted by me is veritable, bona fide, and authentic.

Accordingly, you as a Muslem, you are liable to annex watertight exhibits to support your bogus, defacto, and unethical reply, ad infinitum.

Finally, your unmerit reply lacks verifiable citation and reliable references for verification and authenticity.
 
Last edited:

X Paster, thank you for consenting that Female Circumcision in Islam is more than a religion, and it has now become a custom and cultural practice of the NATION OF ISLAM. As Exhibited above by me. See You Tube for easy of reference.

Further, you have failed to support your defacto reply and continued to say that my narrative and exhibits are fake, without annexing watertight exhibits to support your lies.

Furthermore, you have willingly continued to tell lies, while knowingly, grasply and consciously comprehended that, the Hadith qouted by me is veritable, bona fide, and authentic.

Accordingly, you as a Muslem, you are liable to annex watertight exhibits to support your bogus, defacto, and unethical reply, ad infinitum.

Finally, your unmerit reply lacks verifiable citation and reliable references for verification and authenticity.


Nitarudia jibu langu mpaka wale wanaojitia umbumbu wa kujitakia waelewe.
Hapa hata mkijibaraguza na kujitia kuwa hamuelewi kile ninacho kiandika, majibu yatakuwa ni yale yale mpaka mtaelewa kuwa hizo reference zenu za kuokoteza kuwa si za kweli.

This is what I said... "It appears that female circumcision is more a cultural practice than a matter of Islamic teachings. We Muslim we know that the hadith which maximba mentioned above refer to the practice are all weak and fake.

....The presence of that practice in Egypt, Tanzania, Nubia an other countries up to this day is just a continuation of a practice that has been around since the time of the Pharaohs. It is often hard for people to give up deeply ingrained customs and cultural practiced. They continue to be passed down from generation to generation. This is NOT Muslim customs...No mention of female circumcision is to be found in the Qur'an either directly or indirectly. There is NO known Hadith which requires female circumcision.

The Hadith quoted by maximba 1001% is FAKE".
 
Nitarudia jibu langu mpaka wale wanaojitia umbumbu wa kujitakia waelewe.
Hapa hata mkijibaraguza na kujitia kuwa hamuelewi kile ninacho kiandika, majibu yatakuwa ni yale yale mpaka mtaelewa kuwa hizo reference zenu za kuokoteza kuwa si za kweli.

This is what I said... "It appears that female circumcision is more a cultural practice than a matter of Islamic teachings. We Muslim we know that the hadith which maximba mentioned above refer to the practice are all weak and fake.

....The presence of that practice in Egypt, Tanzania, Nubia an other countries up to this day is just a continuation of a practice that has been around since the time of the Pharaohs. It is often hard for people to give up deeply ingrained customs and cultural practiced. They continue to be passed down from generation to generation. This is NOT Muslim customs...No mention of female circumcision is to be found in the Qur'an either directly or indirectly. There is NO known Hadith which requires female circumcision.

The Hadith quoted by maximba 1001% is FAKE".


Hahah ahahah ahaha ahahaha. Do you see what is happening to you? HUNA JIBU ZAIDI YA BLAH BLAH.

LETE MAJIBU BANA. WEWE NI NANI KUPINGA HADITH NA MANENO YA WAKINA MAMA WA KIMISRI?

AU NDIO UNATUNGA KORAN YAKO?

LETE USHAIDI na sio maneno matupu, kama ilivyo utamaduni wako. Miaka ya maneno matupu imesha pita. Lete ushaidi wa kimaandiko na sio copy and paste yako, ambayo haina kichwa wala miguu.
 

Hahah ahahah ahaha ahahaha. Do you see what is happening to you? HUNA JIBU ZAIDI YA BLAH BLAH.

LETE MAJIBU BANA. WEWE NI NANI KUPINGA HADITH NA MANENO YA WAKINA MAMA WA KIMISRI?

AU NDIO UNATUNGA KORAN YAKO?

LETE USHAIDI na sio maneno matupu, kama ilivyo utamaduni wako. Miaka ya maneno matupu imesha pita. Lete ushaidi wa kimaandiko na sio copy and paste yako, ambayo haina kichwa wala miguu.

Mimi ni XP, XP ambaye siku zote usimama kwenye ukweli. Hadith yako ni FAKE, Kawaambie hao hao walio kupa hiyo fake hadith kuwa wasomaji wa JF wameishtukia.

Hakuna Hadith wala Qur'an yenye kuzungumzia ukeketaji wa wanawake katika Uislam...

Hapa tunakwenda kwa ushahidi wa kimaandiko na si nani kasema. Rejea maneno yangu haya: "Majibu yanajieleza wazi..., kuwa'quote hao wakina mama wa Ki'MASRI... ni sawa leo tuwanukuu MASHOGA wa KIKRISTO toka Kimarekani na Uingereza, ambao wamefunga ndoa makanisani... Unategemea watasema nini? Au unataka kunambia kuwa biblia imeruhusu ndoa za mashoga...!?

Pole sana Tafuta lingine la kubandika hapa.

You are Flat!
 

X Paster, thank you for consenting that Female Circumcision in Islam is more than a religion, and it has now become a custom and cultural practice of the NATION OF ISLAM. As Exhibited above by me. See You Tube for easy of reference.

Further, you have failed to support your defacto reply and continued to say that my narrative and exhibits are fake, without annexing watertight exhibits to support your lies.

Furthermore, you have willingly continued to tell lies, while knowingly, grasply and consciously comprehended that, the Hadith qouted by me is veritable, bona fide, and authentic.

Accordingly, you as a Muslem, you are liable to annex watertight exhibits to support your bogus, defacto, and unethical reply, ad infinitum.

Finally, your unmerit reply lacks verifiable citation and reliable references for verification and authenticity.


Huyo jamaa anayejiita X Paster, hana jibu. Jamaa nafikiri anaongozwa na jazba.

Tube ya kina mama wa Kimisri ipo wazi na hukuitunga wewe, iweje sasa aseme eti hiyo tube ni fake?

Nafikiri tunaitaji Dr aje kutibu mtu hapa.
 

Huyo jamaa anayejiita X Paster, hana jibu. Jamaa nafikiri anaongozwa na jazba.
Tube ya kina mama wa Kimisri ipo wazi na hukuitunga wewe, iweje sasa aseme eti hiyo tube ni fake?

Nafikiri tunaitaji Dr aje kutibu mtu hapa.

Hapa chini kuna video kutoka you tube, hawa ni magay (Mashoga) wa kikristo, tena ni viongozi... Je tuchukulie kuwa ushoga unaruhusiwa ndani ya cult ya kikristo kwa kuwa viongozi wenu wa kanisa ni mashoga!?

YouTube - Gay Pastor

YouTube - Gene Robinson The First Gay Bishop Interviewed in NBC news
 
Hapa chini kuna video kutoka you tube, hawa ni magay (Mashoga) wa kikristo, tena ni viongozi... Je tuchukulie kuwa ushoga unaruhusiwa ndani ya cult ya kikristo kwa kuwa viongozi wenu wa kanisa ni mashoga!?

YouTube - Gay Pastor

YouTube - Gene Robinson The First Gay Bishop Interviewed in NBC news


X Paster, naona umekuwa kama Kuku anaye taka kutaga mayai, hajuwi atage wapi.

Kichwa cha habari ni kuhusu kukata/tahiri Wanawake, wewe unaleta habari ya Ma gay, kama unatamani hao ma gay ni bora useme. La sivyo, lete ushaidi kusaidia maneno yako na achana na blah blah. Tumechoka kusoma hizo blah blah zako ambazo hazina uhusiano na thread hii.

Haya ndio matatizo ya kufuata Mtume Ngumbaru. What will I espect from his followers? Semo semo, like Muhammad like X Paster.

Lete majibu bana. I need watertight exhibits, na sio habari za Mashoga.
 
Ah ah ah ah... pole sana, najuwa ukweli unakuuma sana kwa kukupa mifano ndani ya kile unachokiamini.

Nitarudia tena labda unaweza kuelewa maana ya kutumia mifano.

Nimesema hivi... Nanukuu... "Hapa chini kuna video kutoka you tube, hawa ni magay (Mashoga) wa kikristo, tena ni viongozi... Je tuchukulie kuwa ushoga unaruhusiwa ndani ya cult ya kikristo kwa kuwa viongozi wenu wa kanisa ni mashoga!?...."

YouTube - Gay Pastor

YouTube - Gene Robinson The First Gay Bishop Interviewed in NBC news

Naomba jibu tafadhali... Nakukumbusha tena "...Ulicho kileta hakipo ndani ya Uislam, tafuta lingine..."
 
Ah ah ah ah... pole sana, najuwa ukweli unakuuma sana kwa kukupa mifano ndani ya kile unachokiamini.

Nitarudia tena labda unaweza kuelewa maana ya kutumia mifano.

Nimesema hivi... Nanukuu... "Hapa chini kuna video kutoka you tube, hawa ni magay (Mashoga) wa kikristo, tena ni viongozi... Je tuchukulie kuwa ushoga unaruhusiwa ndani ya cult ya kikristo kwa kuwa viongozi wenu wa kanisa ni mashoga!?...."

YouTube - Gay Pastor

YouTube - Gene Robinson The First Gay Bishop Interviewed in NBC news

Naomba jibu tafadhali... Nakukumbusha tena "...Ulicho kileta hakipo ndani ya Uislam, tafuta lingine..."


Naona juisi ya pilipili imekuzidi mpaka unaonyesha kuchanganyikiwa. Soma tena kichwa cha habari cha thread hii.

Kama unahamu na hao ma gay wewe sema maana mtume wenu amewaruhusu. Kwahiyo, sishangai kuona ukimbilie kule kule na kusahau thread hii ni ya kutairi wakina maama.
 

Naona juisi ya pilipili imekuzidi mpaka unaonyesha kuchanganyikiwa. Soma tena kichwa cha habari cha thread hii.

Kama unahamu na hao ma gay wewe sema maana mtume wenu amewaruhusu. Kwahiyo, sishangai kuona ukimbilie kule kule na kusahau thread hii ni ya kutairi wakina maama.

Duh... ama kweli wakristo wote wanafanana kitabia... Ukizungumza na wakristo wenye kuzumnumza lugha ya kiingereza inafikia wakati hawaelewi kiingereza, hali kadharika na wakristo wanaozungumza kiswahili. Hapa pia wanaonyesha jinsi wasivyojuwa nini mana ya kutoa mifano...! Kaaazi kweli kweli...!

Nitarudia mpaka utanielewa... Maana unatupa kazi ya kufundisha Lugha na imani kwa wakati mmoja... Insha'Allah mtaelewa tu...

Narudia tena Nimesema hivi... Nanukuu... "Hapa chini kuna video kutoka you tube, hawa ni magay (Mashoga) wa kikristo, tena ni viongozi... Je tuchukulie kuwa ushoga unaruhusiwa ndani ya cult ya kikristo kwa kuwa viongozi wenu wa kanisa ni mashoga!?...."
YouTube - Gay Pastor

YouTube - Gene Robinson The First Gay Bishop Interviewed in NBC news

Naomba jibu tafadhali... Nakukumbusha tena "...Ulicho kileta hakipo ndani ya Uislam, tafuta lingine..."
 
Uislam Hauendeshwi kwa kubahatisha na kutafuta "tipu ninyi" U TUBE inasemaje ndio iwe mfumo wa kiislam. pili ukiangalia katika jamii zetu za kitanzania sehemu kubwa ya wakeketaji(unyago) sio Waislam ni watu wa mila za kienyeji hii ni proof tosha.
 
Uislam Hauendeshwi kwa kubahatisha na kutafuta "tipu ninyi" U TUBE inasemaje ndio iwe mfumo wa kiislam. pili ukiangalia katika jamii zetu za kitanzania sehemu kubwa ya wakeketaji(unyago) sio Waislam ni watu wa mila za kienyeji hii ni proof tosha.

Ahsante ndugu yangu... Bila ya kuwasahau Wachaga, Wamasai, Wameru na jamaa zangu wa Kigogo pale Idodomya... Tena basi wengi wao ni wakiristu wakereketwa...! Lakini hakuna aliyewashupalia na kuona kuwa huo ndio ukirisitu...!
 
Ahsante ndugu yangu... Bila ya kuwasahau Wachaga, Wamasai, Wameru na jamaa zangu wa Kigogo pale Idodomya... Tena basi wengi wao ni wakiristu wakereketwa...! Lakini hakuna aliyewashupalia na kuona kuwa huo ndio ukirisitu...!

XP Umesema kweli kabisa.
Bahati mbaya sana kutokana na maslahi binafsi ya watu kumekuwa na kamtindo ka kuhusisha mila hii na dini.Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo wakati jitihada za kupinga ukeketaji zimepamba moto, niliwahi kuhudhuria mkutano huko Senegal na katika majadiliano, wanawake wa Senegal na Gambia walisema kwamba wanalazimishwa kukeketwa kwa kuambiwa kuwa ni agizo kutoka kwenye Qoran.Bahati katika mkutano huo kulikuwa na wanazuoni waliobobea walioweza kuonyesha kwamba huo haukuwa ukweli.Ila pamoja na hayo nadhani iko haja kubwa kuelimisha zaidi wahusika wajue dini/imani yao inaagiza nini maana wengi bado waliendelea kuamini kwamba ni agizo linalostahili kutekelezwa.
All i all nadhani tunapaswa kutenganisha desturi zinazoendana na dini na zile zinazoendana na mila.
 
Duh... ama kweli wakristo wote wanafanana kitabia... Ukizungumza na wakristo wenye kuzumnumza lugha ya kiingereza inafikia wakati hawaelewi kiingereza, hali kadharika na wakristo wanaozungumza kiswahili. Hapa pia wanaonyesha jinsi wasivyojuwa nini mana ya kutoa mifano...! Kaaazi kweli kweli...!

Nitarudia mpaka utanielewa... Maana unatupa kazi ya kufundisha Lugha na imani kwa wakati mmoja... Insha'Allah mtaelewa tu...

Narudia tena Nimesema hivi... Nanukuu... "Hapa chini kuna video kutoka you tube, hawa ni magay (Mashoga) wa kikristo, tena ni viongozi... Je tuchukulie kuwa ushoga unaruhusiwa ndani ya cult ya kikristo kwa kuwa viongozi wenu wa kanisa ni mashoga!?...."
YouTube - Gay Pastor

YouTube - Gene Robinson The First Gay Bishop Interviewed in NBC news

Naomba jibu tafadhali... Nakukumbusha tena "...Ulicho kileta hakipo ndani ya Uislam, tafuta lingine..."


Hii sio thread ya MASHOGA. Kama unahamu na MASHOGA basi wewe nenda kamuombe SHEHEH atakupatia.

HAPA tunazungumzia kuhusu tabia mbaya ya kukata WANAWAKE NA SIO MASHOGA.

Uislam ni moja ya TAIFA linalo endekeza KUKATA WANAWAKE NA KUSUJUDU NA KUENDEKEZA MASHOGA VILE VILE.

Wale wakina Mama wa Kimisri wametii na kufuata amri ya ALLAH wenu na wote wamekiri kuwa WAMEKATWA NA NI WAISLAM, na zaidi ya hapo WOTE wamesema wamewakata watoto wao wa kisichana. Sasa wewe X PASTER ni nani kupinga wanayosema?
 
MaxShimba na X-Paster, naomba tuiweke dini pembeni, tuendelee kuujadili huu ukeketaji wa kimila na ndio uliopo Tanzania na Afrika ya Mashariki.
 

Types of Islamic Female Genital Cutting

Islamic Female genital cutting is "term used to refer to any practice which includes the removal or the alteration of the female genitalia."[5] There are three basic types of IFGC[6]:

Type I: This is the mildest form of IFGC, which includes removing or splitting the prepuce (foreskin or ‘hood') which covers the clitoris of females, thus exposing the glans. This may be couple with partial or total excision of the clitoris. This is known as clitoridotomy (slang: hoodectomy). According to the United Nations Population Fund, this form is comparable to male circumcision.[7] This is sometimes also called "sunna circumcision" due to the fact that it is this type which is performed commonly by those Muslims who believe it to be legislated in Islam.

Type II: In this type, known as clitoridectomy, the clitoris and labia minora is partially or totally removed.

Type III: This is one of the most extreme forms of IFGC, involving the total excision of the clitoris, both the labia minora and majora, and the joining of the two sides of the vulva across the vagina, sewn with thread or secured with other items, until it heals joining together. Only a small, pencil-size hole is left to allow passage of menstrual blood and urine. This is known as infibulation or Pharaonic Circumcision, in reference to its origins.

Type IV: This type is inclusive of all other forms of genital cutting, such as: pricking, piercing or incision of the clitoris and/or labia; stretching of the clitoris and/or labia; cauterization by burning of the clitoris and surrounding tissue; introcision, scraping (angurya cuts) or cutting (gishri cuts) of the vagina or surrounding tissue; and introduction of corrosive substances or herbs into the vagina.

Haya ndiyo mambo ya hawa ndugu zetu wa mama wa kambo.
 
This is purely culture and not Islamic....
sorry man... your still down... ! Uislam unafuata Qur'an kaka na si blah... blah... Uislam si ukristo ndugu wa kukumbatia mashoga...!

Try again!
 
Back
Top Bottom