Swala la waislamu kuchinja ni la kisheria au ni ustaaarabu tu?

Swala la waislamu kuchinja ni la kisheria au ni ustaaarabu tu?

Hayo yote ni maasiya, yaani ni matendo maovu. Bado hayakutowi katika uislaam ! Kubwa litakalo kutoa katika uislaam ni kuabudu asiyekua Mwenyezi Mungu ! (sanamu, miti, mizimu, alama, mnyama nk!) Binaadam wote wanazaliwa waislaam, wanatoka pale wanapobatizwa au kuanza kushiriki imani tofauti ! Vizuri akachinja mtu anaejua na mmemshuhudia anajiepusha na mambo mabaya

Nikweli. Watu wote wanazaliwa waislamu, lkn wakishapata akili na kumjua Mungu wanabatizwa. Labda nikuulize, wale waliozaliwa kabla ya uislamu sio binadamu?

Nimekuchia homework kwenye topic ya Mhakama ya kadhi nenda ukajibu hoja kama unazo, acha kuhubiri dini za watu.
 
Nikweli. Watu wote wanazaliwa waislamu, lkn wakishapata akili na kumjua Mungu wanabatizwa. Labda nikuulize, wale waliozaliwa kabla ya uislamu sio binadamu?

Nimekuchia homework kwenye topic ya Mhakama ya kadhi nenda ukajibu hoja kama unazo, acha kuhubiri dini za watu.
Hata binaadam wa mwanzo walizaliwa Waislaam, kifupi binaadam wa kwanza kuumbwa ADAM A.S ni Muislaam na wakati wake haukuwepo msalaba wala hakuwahi kubatizwa. Huna haja ya kununa hivyo ndivyo Uislaam unaamini !
 
Nimejibu post ya mtu aliye dai kuwa Quran inasema: watu wa kitabu wakichanja tunatakiwa tule, which is true ! Sasa akadai Yeye ana Biblia na anataka kuchinjia Waislaam akijilinganisha na watu wa kitabu. Watu wakitabu wakati wakichinja walikua hawataji jina Yesu, walimtaja YAHWEH ! FUATILIA CONTEXT KABLA YA KULALAMA ! Umeona eeeh !

Wakati unachinja na kusoma duwaa kichwa cha mnyama huelekezwa mathabahu gani?
 
Hata binaadam wa mwanzo walizaliwa Waislaam, kifupi binaadam wa kwanza kuumbwa ADAM A.S ni Muislaam na wakati wake haukuwepo msalaba wala hakuwahi kubatizwa. Huna haja ya kununa hivyo ndivyo Uislaam unaamini !
Mkuu usitudhalilishe sisi ambao si wa dini hiyo unayoitaja, ila sema wooote kama kuna dini wanazaliwa nayo, ni dini ya asili ambayo kila mmoja amezaliwa nayo mpaka pale ukristo ulipoanzishwa wengine wakaacha dini yao ya asili wakaingia huko, na baadaye uislamu ulipokuja nao kuna walioacha dini ya asili wakaingia huko,na usitafsiri neno islam kama mtu anazaliwa hivyo, hiyo dini ilikuja na kuna historia tayari kuwa ilianza lini, kuirudisha nyuma ya historia hiyo ni kujidanganya kama vile kuurudisha ukristo nyuma ya tarehe ulipoanzishwa. Hizi dini zimeletwa huku kwetu na ukoloni wa waarabu na ukoloni wa nchi za ulaya, na ingawa uislamu ulianza kuingia mwanzo huku Afrika ya Mashariki kabla ya ukristo kamwe huwezi sema mtu anazaliwa muislamu na hata eti(kama ni dini kweli hizi) uislamu ulianza kabla ya ukristo, kusema hivyo ni kutengeza fatwa kama zile ambazo zilimfanya Rushdie atafutwe.
 
Mkuu usitudhalilishe sisi ambao si wa dini hiyo unayoitaja, ila sema wooote kama kuna dini wanazaliwa nayo, ni dini ya asili ambayo kila mmoja amezaliwa nayo mpaka pale ukristo ulipoanzishwa wengine wakaacha dini yao ya asili wakaingia huko, na baadaye uislamu ulipokuja nao kuna walioacha dini ya asili wakaingia huko,na usitafsiri neno islam kama mtu anazaliwa hivyo, hiyo dini ilikuja na kuna historia tayari kuwa ilianza lini, kuirudisha nyuma ya historia hiyo ni kujidanganya kama vile kuurudisha ukristo nyuma ya tarehe ulipoanzishwa. Hizi dini zimeletwa huku kwetu na ukoloni wa waarabu na ukoloni wa nchi za ulaya, na ingawa uislamu ulianza kuingia mwanzo huku Afrika ya Mashariki kabla ya ukristo kamwe huwezi sema mtu anazaliwa muislamu na hata eti(kama ni dini kweli hizi) uislamu ulianza kabla ya ukristo, kusema hivyo ni kutengeza fatwa kama zile ambazo zilimfanya Rushdie atafutwe.
..................daaah ! kazi kweli kweli !Ngoja nijaribu tena kukuelimisha:1. Kwanza kabisa Uislaam haufuati maoni au mtu binafsi anavyoona na kufikiria.2. Uislaam unaamini Binaadamu wa kwanza kuumbwa yaani ADAM A.S ni Muislaam na watu wote waliofuatia ni Waislaam3. Wakati anazaliwa Yesu, anayonyeshwa na Mama yake, alikua Dini gani Mama yake alikuwa Dini gani ?4. Waislaam wanawaamini na kufuata Manabii wote bila kubagua, akiwamo Yesu A.S, na Nabii wa Mwisho ni Muhammad S.A.W5. Uislaam hauna ubaguzi wa Siasa (Uarabu/Ukoloni nk) Quran inasema tumeumbwa Makabila na rangi tofauti ili tujuane tu, na aliye bora ni yule mchamungu !6. Haya ni mafundisho ya Kiislaam, na si maoni ya mtu.
 
Wakati unachinja na kusoma duwaa kichwa cha mnyama huelekezwa mathabahu gani?
.. Unaelekea Kibla yaani Makka, na si madhabahu ! Kabla ya hapo waumini wote walikuwa wakielekea mlima Sinai na baadae Jerusalem kisha Makka. Hili somo limo katika Biblia. Pale Yesu aliposema ......... Hamtamuabudu Baba katika Mlima huu wala kulee Yerusalem, Utukufu wa Bwana utapewa Taifa jingine lenye kuzaa matunda ! Jaribu kutafuta hayo manane yanapatikana wapi katika Biblia ndio utajua somo la kuelekeza uso wako katika Dini iliyo sawa !
 
..................daaah ! kazi kweli kweli !Ngoja nijaribu tena kukuelimisha:1. Kwanza kabisa Uislaam haufuati maoni au mtu binafsi anavyoona na kufikiria.2. Uislaam unaamini Binaadamu wa kwanza kuumbwa yaani ADAM A.S ni Muislaam na watu wote waliofuatia ni Waislaam3. Wakati anazaliwa Yesu, anayonyeshwa na Mama yake, alikua Dini gani Mama yake alikuwa Dini gani ?4. Waislaam wanawaamini na kufuata Manabii wote bila kubagua, akiwamo Yesu A.S, na Nabii wa Mwisho ni Muhammad S.A.W5. Uislaam hauna ubaguzi wa Siasa (Uarabu/Ukoloni nk) Quran inasema tumeumbwa Makabila na rangi tofauti ili tujuane tu, na aliye bora ni yule mchamungu !6. Haya ni mafundisho ya Kiislaam, na si maoni ya mtu.
Ni ya kiislaam kwa ajili ya wale waliopokea uislaam na kuacha dini zao za asili ambazo waliodanganyika wanaziita ushirikina na hapo ndipo wanapata taabu sana kujitoa huko walikozama, huwezi kumweleza mtu aliye nje ya uislaam ama anayeelewa dini za vitabu zilivyoanza kuwa hata adam alizaliwa muislam, hii itakuwa kuzima uwezo wa kufikiri ila kuongozwa na bangi la kidini(kama Marx alivyoita) ambalo tangu mwanzo ilionekana mtu anayeongozwa na bangi la kidini hatakuwa salama sana katika kuona mambo vizuri.Alafu ukoloni ni ukoloni uwe wa kiarabu ama wa kimagharibi,wote wameleta madhara mabaya sana mpaka sasa. Kuanziaa biashara ya utumwa mpaka kuigawa Afrika ni madhara tupu. Alafu unasema uislamu haufuati fatwa, ama mawazo ya mtu, unataka kusema hakuna mawazo ya mtu wapi: ndani yadini hizi ama vitabu vyake? Any way, nimesoma islamlogy na christology nikajagundua yanayosemwa si mawazo ya watu ni machache sana, mengi ni mawazo ya watu tu ya kutufanya tuwe hapa tulipo, utakuja gundua wakati fulani utaona jinsi ambavyo mambo hayapo yalivyo, ni ukoloni wa kidini tu. Dini hizi za vitabu, misingi ya mafundisho yake ni vitabu vyenyewe na tafsiri ya vitabu hivyo kwa misingi ya mapokeo, hadith, sunnah. Utagundua katika kufanya hayo mawazo ya watu kibao, alafu nikujulishe hakuna dini ya kiulimwengu bali dini ni ile ya eneo inayotokana na jadi yako katika kabila lako ama ukoo wako, hata hizo mbili mmezichukua kwa waarabu na wazungu kumbe haziwahusu kama zile mlizoacha kule Kisiju ama Magubike
 
Zilete hizo bylaws tuzione, mazoea yasikufanye uone ni sheria, unafikiri mnayama akichinjwa na Mkristo ama Muislamu atabadilisha kifo cha mnyama huyo ama nyama hiyo? acheni hizo, ishini uasilia wa Mwafrika badala ya kujigenisha katika mazingira yetu ya Kiafrika. Imani za kundi fulani zisiingilie uhuru wa watu, na wala imani ya watu fulani isihalalishe ama kukataza vionjo vya watu, na huyo Mkristo akila kilichochinjwa kwa ibada hizo atakuwa wa dini gani?

Hapo kwenye red, muafrika aliishi kwa kuvaa magamba ya miti akifunika kinena chake tu na wanawake wakiwa maziwa nje! na je mbona sasa unavaa nguo?? na kwanini usiendelee kuishi kiafrika kama ulivosimuliwa babu zako walifanya hivo ! maana bila shaka walikuwa wakiende uchi utupu! huo ndio uasilia wa mwafrika.
Nimesoma post nyingi katika JF nimeona kuna chuki ya udini na Uislamu ukidharauliwa au kubezwa, jamani kuna vitu vingine mnatakiwa nyie kama GREAT THINKERS mvifikiri , msipende ushabiki na chuki zisizo na maana wala faida kwetu, unaambiwa uchinje mnyama ili kabla ya kuchinja ujue mnyama yule ni mzima hana maradhai yeyote! je sisi waislamu tungeruhusiwa kula chochote tu hata kilichokufa na kikauzwa buchani leo tungekuwa wapi? imagine mnyama amekufa kwa kugongwa na nyoka mweye sumu kali halafu analetwa buchani wewe ndugu yangu unaenda unanunua na kula unajua utadhurika vipi na sumu ile? umekuta mnyama amekufa unachukuwa unakula tu unajua amekufa na maradhi gani ? na je kama yanaambukiza? fikirieni msipinge tu kila kitu eti kwasababu tu ni cha kiislamu! mnasikitisha sana ! sio kila kitu kilicholetwa na muislamu ni kibaya ! vigine vina msingi na aida hata kwenu msiokuwa waislamu! acheni chuki zisizo za maana! kitabu kimeamfirsha hivo na kama wewe sio muislamu una kitu kina faida basi fuata! mbona leo madaktari bingwa wanatumia ASALI kutibu madonda makubwa yasiyotibika na imekuwa dawa ya maradhi mengi! na mbona tunashuhudia HAbat Souda ikitumika kwenywe EPILIM na mbona watu wamekuwa wakinywa Aloe vera vtyote hivi mbona mnakubali kuvitumia na ilhali vimetokana na kwenye kitabu na hadithi za huyo msotaka kumuamini kama ni Mtume ! hili mkilipinga nitawashangaa sana! acheni chuki na ubezaji usio na maana ! tuchinje wanyama wetu ! na kamwe msitulazimishe kula vibudu ambavyo hatujui vimekufa kwa ajili gani!
 
mm mifugo yangu nachinja mwenyewe hakuna cha mwislamu wala nani! anayetaka kula ale..asiyetaka aache!
 
Hapo kwenye red, muafrika aliishi kwa kuvaa magamba ya miti akifunika kinena chake tu na wanawake wakiwa maziwa nje! na je mbona sasa unavaa nguo?? na kwanini usiendelee kuishi kiafrika kama ulivosimuliwa babu zako walifanya hivo ! maana bila shaka walikuwa wakiende uchi utupu! huo ndio uasilia wa mwafrika.
Nimesoma post nyingi katika JF nimeona kuna chuki ya udini na Uislamu ukidharauliwa au kubezwa, jamani kuna vitu vingine mnatakiwa nyie kama GREAT THINKERS mvifikiri , msipende ushabiki na chuki zisizo na maana wala faida kwetu, unaambiwa uchinje mnyama ili kabla ya kuchinja ujue mnyama yule ni mzima hana maradhai yeyote! je sisi waislamu tungeruhusiwa kula chochote tu hata kilichokufa na kikauzwa buchani leo tungekuwa wapi? imagine mnyama amekufa kwa kugongwa na nyoka mweye sumu kali halafu analetwa buchani wewe ndugu yangu unaenda unanunua na kula unajua utadhurika vipi na sumu ile? umekuta mnyama amekufa unachukuwa unakula tu unajua amekufa na maradhi gani ? na je kama yanaambukiza? fikirieni msipinge tu kila kitu eti kwasababu tu ni cha kiislamu! mnasikitisha sana ! sio kila kitu kilicholetwa na muislamu ni kibaya ! vigine vina msingi na aida hata kwenu msiokuwa waislamu! acheni chuki zisizo za maana! kitabu kimeamfirsha hivo na kama wewe sio muislamu una kitu kina faida basi fuata! mbona leo madaktari bingwa wanatumia ASALI kutibu madonda makubwa yasiyotibika na imekuwa dawa ya maradhi mengi! na mbona tunashuhudia HAbat Souda ikitumika kwenywe EPILIM na mbona watu wamekuwa wakinywa Aloe vera vtyote hivi mbona mnakubali kuvitumia na ilhali vimetokana na kwenye kitabu na hadithi za huyo msotaka kumuamini kama ni Mtume ! hili mkilipinga nitawashangaa sana! acheni chuki na ubezaji usio na maana ! tuchinje wanyama wetu ! na kamwe msitulazimishe kula vibudu ambavyo hatujui vimekufa kwa ajili gani!

Mkuu kwanza ujue siuchukii uislamu wala ukristo maana mie sipo huko ila nachukia ile hali ya kunigenisha ama kunisadikisha ama ama kunihalalisha katika dini hizo, chinjeni , kuleni, na wale wasio dini yenu wakichinja waache wale na si lazima achinje muislam ama mkristo ndipo kutakuwa na uhalali wa nyama hiyo, ila kama uhalali kwa muislamu upo katika kuchinja mnyama huyo na muislamu, sawa endelea ial usimlazimishe asiye wa dini hiyo kuamini hivyo, ama kumwambia yeye anaua hachinji! Alafu ujue, ni masuala ya kiafya zaidi hayo na siyo ya kidini.
Kuhusu uasilia wa Mwafrika, umegusia kitu tofauti, nishaeleza, mie naamini dini yangu ya kiafrika, haina kitabu bali ina mafundisho msingi ya nini nifanye na nini nisikifanye, nipo safi kabisa na wala sina tatizo katika hilo, kumbe ninapoongelea hapa naongelea mambo ya msingi na yenye tija, mfano sikatai mtu asivae nguo, asiwe na viwanda, asipande gari ila nitachukia vitu hivi vikitumika vibaya, kwa misingi hiyo, dini kama dini haipo muhimu kiasi hicho mpaka kuleta chuki, vita, kutengana na hata kuuana, dini siyo itakayokupeleka mbele ya haki ila maisha yako ya upendo, amani na umoja ambao ni tunu za Uasilia wetu , pale dini inapokuletea matatizo na hasa kama ni kitu ambacho huna asili nacho basi ujue ni tatizo na ndipo hapo inakuwa haina umuhimu wa kulinganishwa na umuhimu kama wa kuvaa nguo, ama nguo umeshaona zinaleta matatizo?Kubadilika kutoka kuvaa magome ya miti mpaka nguo ni hatua ya maendeleo ambayo ingefikiwa tu hata kama wakoloni hao wasingekuja, wazee wetu walishapiga sana hatua mpaka hapo. Uasilia wa Mwafrika unaufahamu sana ila tatizo ni hili hali tuliyogenishwa na kuona asili yetu kama ushirikina ama kutokuwa wa maana, bado narudia, dini hizi za vitabu zisitufanye tukose amani ama kuchukiana, na hili ndilo silitaki,kila mtu aamini anachoamini bila kujiona kwamba ana kibali cha kufanya kwaajili ya wengine hasa linapokuja suala la kichinja mnyama ambalo kwangu mimi naona ni dogo sana ambalo haliitaji watu kutoleana misuli, lingekuwa hivyo/litakuwa hivyo kama kuna kundi litalazimisha iwe hivyo. Alafu ujue wenyewe wakoloni wa hizo dini wametulia na mengi wameshaona hayafai sisi bado tunang'ang'ania kwa kujifanya tunazijua na hili ndilo tunatakiwa kulijua.
 
Ilimradi umetahadharisha jamii kuwa kuwa nyama imechinjwa na mkristo wala hakuna tabu.

Kivumbi kitatimka tu pale utaposahau kujuza umma kuwa haikuchinjwa na mwislamu halafu ukashtukiwa.

Kwanini kama mnyama amechinjwa na mkristo iwekwe ILANI kuitahadharisha jamii?
 
Mkuu kwanza ujue siuchukii uislamu wala ukristo maana mie sipo huko ila nachukia ile hali ya kunigenisha ama kunisadikisha ama ama kunihalalisha katika dini hizo, chinjeni , kuleni, na wale wasio dini yenu wakichinja waache wale na si lazima achinje muislam ama mkristo ndipo kutakuwa na uhalali wa nyama hiyo, ila kama uhalali kwa muislamu upo katika kuchinja mnyama huyo na muislamu, sawa endelea ial usimlazimishe asiye wa dini hiyo kuamini hivyo, ama kumwambia yeye anaua hachinji! Alafu ujue, ni masuala ya kiafya zaidi hayo na siyo ya kidini.
Kuhusu uasilia wa Mwafrika, umegusia kitu tofauti, nishaeleza, mie naamini dini yangu ya kiafrika, haina kitabu bali ina mafundisho msingi ya nini nifanye na nini nisikifanye, nipo safi kabisa na wala sina tatizo katika hilo, kumbe ninapoongelea hapa naongelea mambo ya msingi na yenye tija, mfano sikatai mtu asivae nguo, asiwe na viwanda, asipande gari ila nitachukia vitu hivi vikitumika vibaya, kwa misingi hiyo, dini kama dini haipo muhimu kiasi hicho mpaka kuleta chuki, vita, kutengana na hata kuuana, dini siyo itakayokupeleka mbele ya haki ila maisha yako ya upendo, amani na umoja ambao ni tunu za Uasilia wetu , pale dini inapokuletea matatizo na hasa kama ni kitu ambacho huna asili nacho basi ujue ni tatizo na ndipo hapo inakuwa haina umuhimu wa kulinganishwa na umuhimu kama wa kuvaa nguo, ama nguo umeshaona zinaleta matatizo?Kubadilika kutoka kuvaa magome ya miti mpaka nguo ni hatua ya maendeleo ambayo ingefikiwa tu hata kama wakoloni hao wasingekuja, wazee wetu walishapiga sana hatua mpaka hapo. Uasilia wa Mwafrika unaufahamu sana ila tatizo ni hili hali tuliyogenishwa na kuona asili yetu kama ushirikina ama kutokuwa wa maana, bado narudia, dini hizi za vitabu zisitufanye tukose amani ama kuchukiana, na hili ndilo silitaki,kila mtu aamini anachoamini bila kujiona kwamba ana kibali cha kufanya kwaajili ya wengine hasa linapokuja suala la kichinja mnyama ambalo kwangu mimi naona ni dogo sana ambalo haliitaji watu kutoleana misuli, lingekuwa hivyo/litakuwa hivyo kama kuna kundi litalazimisha iwe hivyo. Alafu ujue wenyewe wakoloni wa hizo dini wametulia na mengi wameshaona hayafai sisi bado tunang'ang'ania kwa kujifanya tunazijua na hili ndilo tunatakiwa kulijua.

Nashukuru kwa kuwaelimisha.
 
''Mmeharamishwa
(mmekatazwa!) nyamafu
(kibudu) na damu
(kisusio !) na nyama ya nguruwe, na kinyama
kilichochinjwa si kwa ajili
ya Mwenyezi Mungu, na
kilichokufa kwa
kusongeka koo
(kunyongwa) na kilichokufa kwa
kupigwa na kilichokufa
kwa kuanguka, na
kilichokufa kwa
kupigwa pembe na
alichokila mnyama, ila kama mkiwahi
kukichinja kabla
hakijafa. Na
mmeharamishiwa
(mmekatazwa)
kilichochinjwa panapofanyiwa ibada
isiyokuwa ya Mwenyezi
Mungu. Na ni haramu
kutaka kutaka kujua siri
kwa kuagua kwa mabao
(kupiga ramli). Hayo yote ni maasia." nimenukuu kidogo ulichokisema,umedai ni kitabu cha dini ndo kinafundisha hvyo. Kwa uelewa wangu,kutoka kwenye nukuu hapo juu,mnyama akichinjwa na asiyekuwa muislam ni HARAMU,huu mimi ndio ninaouita UDINI,nyie mnaamini dini yenu ndio safi sana kuliko nyingine au kuliko wasiokuwa na dini.Huu ni uongo,hapa kila mtu akianza kuleta mistari ya kidini,utulivu wa nchi yetu utapotea.Wakristo nao wakisema kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu nini kitatokea kwa waislamu na wasiokuwa na dini?? Mnawaita wakristo MAKAFIRI,huu wote ni udini.Acheni complication zisizokuwa na maana.
 
''Mmeharamishwa
(mmekatazwa!) nyamafu
(kibudu) na damu
(kisusio !) na nyama ya nguruwe, na kinyama
kilichochinjwa si kwa ajili
ya Mwenyezi Mungu, na
kilichokufa kwa
kusongeka koo
(kunyongwa) na kilichokufa kwa
kupigwa na kilichokufa
kwa kuanguka, na
kilichokufa kwa
kupigwa pembe na
alichokila mnyama, ila kama mkiwahi
kukichinja kabla
hakijafa. Na
mmeharamishiwa
(mmekatazwa)
kilichochinjwa panapofanyiwa ibada
isiyokuwa ya Mwenyezi
Mungu. Na ni haramu
kutaka kutaka kujua siri
kwa kuagua kwa mabao
(kupiga ramli). Hayo yote ni maasia." nimenukuu kidogo ulichokisema,umedai ni kitabu cha dini ndo kinafundisha hvyo. Kwa uelewa wangu,kutoka kwenye nukuu hapo juu,mnyama akichinjwa na asiyekuwa muislam ni HARAMU,huu mimi ndio ninaouita UDINI,nyie mnaamini dini yenu ndio safi sana kuliko nyingine au kuliko wasiokuwa na dini.Huu ni uongo,hapa kila mtu akianza kuleta mistari ya kidini,utulivu wa nchi yetu utapotea.Wakristo nao wakisema kuoa mke zaidi ya mmoja ni haramu nini kitatokea kwa waislamu na wasiokuwa na dini?? Mnawaita wakristo MAKAFIRI,huu wote ni udini.Acheni complication zisizokuwa na maana.
umenukuu vizuri kisha wewe ndio umeleta complication ! Unataka tufuate maoni yako?.
 
Yeye amekuharamishieni (amewakataza) mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliyefikwa na dharura bila kutamani wala kupita kiasi , yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, Mwingi wa kurehemu. QURAN: 2;173 ''Enyi mlioamini ! Ingieni katika hukumu za Uislaam zote, wala msifuate nyayo za shetani: hakika yeye kwenu ni adui dhahiri. QURAN; 2:208
 
Nashukuru kwa kuwaelimisha.
Sisi Waislaam hatufuati maoni bali andiko !
'' Watu wote walikuwa wa dini moja ( ya Nabii Adam). Basi Mwenyezi Mungu akawaletea Manabii watoao habari njema na waonyao. Na pamoja nao akawateremshia vitabu (Tourat, Zaburi, Injil.) vilivyoshikamana na haki ili vihukumu baina ya watu katika yale waliyokhitilafiana. Na hawakukhitilafiana katika hayo ila wale waliopewa vitabu hivyo: baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi (Quran) kwa sababu ya uhasidi ulikuwa baina yao. Ndipo Mwenyezi Mungu akawaongoza walioamini kwendea haki katika yale waliokhitilafiana, kwa idhini Yake. Na Mwenyezi Mungu humuongoza amtakaye kwendea njia iliyonyooka. QURAN:2:213
 
umenukuu vizuri kisha wewe ndio umeleta complication ! Unataka tufuate maoni yako?.

siwalazimishi mfuate maoni yangu,ila nyie pia msitake mi nifuate maandiko yenu. Kwangu mimi hayanisaidii chochote. Ninacho maanisha mimi ni kwamba,tusiipeleke nchi katika kufuata maandiko na imani za kidini.
 
siwalazimishi mfuate maoni yangu,ila nyie pia msitake mi nifuate maandiko yenu. Kwangu mimi hayanisaidii chochote. Ninacho maanisha mimi ni kwamba,tusiipeleke nchi katika kufuata maandiko na imani za kidini.
Hakuna mtu analazimishwa kitu, maana huwezi kuyafuata haya bila imani, tunaweka hadharani hapa ili mjue kuwa tunalofanyi sisi kidini ni wajibu. Tatizo linakuja pale tunapoambiwa tufuate maoni. Hata UN wameshauri ndoa za mitala (mke zaidi ya mmoja) zipigwe marufuku na liwe kosa la jinai, ila ndoa za jinsia moja iwe haki !
 
Back
Top Bottom