Swala la waislamu kuchinja ni la kisheria au ni ustaaarabu tu?

Swala la waislamu kuchinja ni la kisheria au ni ustaaarabu tu?

Mkristo hachinji bali anaua ! Nimekupa aya katika post ya tatu, Mwenyezi Mungu anasema tukichinja tutaje jina lake na tumshukuru ! Kumbuka wanyama ni umma kama sisi ! Kuna nidhamu nyingi ikiwemo kisu kuwa kikali. Wengine wanaua. Tofauti ya Washirikina na Wanaoamini iko wazi !
Hyo ni kwa mujibu WA Imani Yako
Sisi haituhusu hiyo
 
Hapo hakuna tatizo kabisa ! Ndio maana kule Moshi (Kibororoni) kuepuka mtafaruku wenye bucha za Nguruwe waliandika kabisa kuwa 'Bucha za Wakristo' na walieleweka !
Sawasawa kumbe ni jambo Dogo tu
Sasa ni na wakristo wakisema hawali nyama iliyochinjwa na muislam itakuaje?
 
Tukichinja sisi Waislaam kwa utaratibu tuliowekewa kwanza ni ibada na pili tunaonyesha shukrani kwa Mola wetu. Ukichinja wewe, chinja kwa raha zako na manufaa yako. Hatuhitaji ruhusa wala huruma ya mtu ! Ukichinja wewe hatuli kwa sababu hatujui umemtaja nani kuonyesha shukrani na utii !
Na ambao si waislam wakisema hatuli nyama iliyochinjwa na mwslam je
 
Back
Top Bottom