Tukichinja sisi Waislaam kwa utaratibu tuliowekewa kwanza ni ibada na pili tunaonyesha shukrani kwa Mola wetu. Ukichinja wewe, chinja kwa raha zako na manufaa yako. Hatuhitaji ruhusa wala huruma ya mtu ! Ukichinja wewe hatuli kwa sababu hatujui umemtaja nani kuonyesha shukrani na utii !