Swala la waislamu kuchinja ni la kisheria au ni ustaaarabu tu?

Labda sheria zisizoandikwa
 
Hyo ni kwa mujibu WA Imani Yako
Sisi haituhusu hiyo
 
Hapo hakuna tatizo kabisa ! Ndio maana kule Moshi (Kibororoni) kuepuka mtafaruku wenye bucha za Nguruwe waliandika kabisa kuwa 'Bucha za Wakristo' na walieleweka !
Sawasawa kumbe ni jambo Dogo tu
Sasa ni na wakristo wakisema hawali nyama iliyochinjwa na muislam itakuaje?
 
Na ambao si waislam wakisema hatuli nyama iliyochinjwa na mwslam je
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…