Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Sheikh.... Nakupa pongezi sana. Jana kama ulikuwa moyoni mwangu. Ulisisitiza sana tuwaombee wa kwetu katika mahusiano aka ndoa.
Nlimwombea sana huyu sister wangu sister duu. Maana toka alivyotaka kusababisha nimwambe makofi kwa kutaka mnyima unyumba shemeji. Nlianza ona ana tatizo. Maana hatufikirii na sisi wengine inakuaje ikitokea akafukuzwa pale home.
Lakini nikawaza hapo anaweza sababisha Shemeji aoe mke wa pili. So nlikaa naye nikamwambia asifanye ujinga. Sisi tunamtegemea sasa analeta tena mapozi anataka nini? Na nlimwambia kabisa next time nitamtandika makofi haswa akileta tena ubabe.
Jana tumewaombea hawa wanawake wakaidi. Wakienda shule tu basi wanaanza zungumzia haki n.k sasa nadhani amekaa sawa. Sheikh alizungumza sana kuwa hawa wanawake wa siku hizi wachache sana wataenda akhera maana wengi kiakili ni muflis. Unamnyimaje tendo mumeo? Na huku unakaa hapo na ndugu zako? Huu jamani si ni uchawi kabisa? Nlishangaa maneno ya sheikh aligusa mule mule.
Nlimwombea sana huyu sister wangu sister duu. Maana toka alivyotaka kusababisha nimwambe makofi kwa kutaka mnyima unyumba shemeji. Nlianza ona ana tatizo. Maana hatufikirii na sisi wengine inakuaje ikitokea akafukuzwa pale home.
Lakini nikawaza hapo anaweza sababisha Shemeji aoe mke wa pili. So nlikaa naye nikamwambia asifanye ujinga. Sisi tunamtegemea sasa analeta tena mapozi anataka nini? Na nlimwambia kabisa next time nitamtandika makofi haswa akileta tena ubabe.
Jana tumewaombea hawa wanawake wakaidi. Wakienda shule tu basi wanaanza zungumzia haki n.k sasa nadhani amekaa sawa. Sheikh alizungumza sana kuwa hawa wanawake wa siku hizi wachache sana wataenda akhera maana wengi kiakili ni muflis. Unamnyimaje tendo mumeo? Na huku unakaa hapo na ndugu zako? Huu jamani si ni uchawi kabisa? Nlishangaa maneno ya sheikh aligusa mule mule.