Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
WoiKapata mashine mupyaaa.......
Kama ya dogo.
Mh we mwenzetu upo Bongo au umeamka Leo? !
Hata me naulizaKwahiyo wameachana na dogo janja au??
Mwenzio kaolewa na sheikh Dubai mtaisoma namba
Hahahah kaoe KenyaNi vigumu kuelewa nini hasa wanataka hawa wanawake wetu.
Wifi upo?!Mambo ya wasanii smart
Noooo noon noon noon noooooooNilivyokuelewa mimi!
Dada yetu kampenda Dogo kwasababu dog ana machine!
sasa dogo kaoa mke wa pili.
Hivyo dogo kweli ana machine lakni dada yetu hawezi kuhimili!!!! Umenielewa! Hivyo dogo katafuta anayeweza kuhimili machine!
Mwalimu nimemaliza naomba unisahihishe!
HahahahaWasaniii wa bongo wameingiza siasa kwenye usanii wao hivyo kila kitu usanii