SWALI: Alisema amempendea Machine Mbona Kakubali kuwa Mke wa 2?!

Nipo dada kimjinimjini hatuamkii wala nini...

heshima yako dadalake... ila sio kwa ukimya huo jamani...kwakweli nafurahi kukuona teinaaaaa



cc Smart911
Oh jamani! I Miss u too
Marahaba
me si unajua nashinda kwa Blog yangu na Facebook page yangu kunawaka moto kule na WhatsApp huku nakusahau
Leo nimejitoa sadaka huku kesho narudi mji wangu karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…