Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #61
Nakutag ujeHahahaahaaa!umeniacha hoi kinoma hapa[emoji23] eti mombasa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
HatareeIla dogo pale kaambulia grid ya taifa tu hakuna kingine hiyo ndo faida aliyopata kwa bebi mama
Sent using Jamii Forums mobile app
zilikuwa drama tu zile 😂😂😂 sasa dogo kama alikuwa anawavimbia washkaji ndio muda huu wakujifichaUmeona ee Uwoya Mtoto wa kishua sa nashangaa kujishusha vile kwa do go vepe
Woyoooozilikuwa drama tu zile 😂😂😂 sasa dogo kama alikuwa anawavimbia washkaji ndio muda huu wakujificha
Yaani unaleta uzi habari juujuu halafu unawaambia waende Instagram, why usifunguke kwenye uzi wako au watu kwenda insta unalaza hesabu?Upo Bongo au?!
Nenda Instagram Mama
Watakwambia nenda insta... Jf cku hizi inawaleta thread hatari sanaNimejaribu kuelewa nimeshindwa
Mtoto laini huyo kama burger ya kuku,ngoja ninyuti tuUmeona ee Uwoya Mtoto wa kishua sa nashangaa kujishusha vile kwa do go vepe
Dogo alisimamia ndoa kwa niaba ya mtu mwingine,kiislamu unaweza muolea mtu then akaenda kwa mumewe.huyo mtoto ni fundi balaa kwenye 6×6 lazima maharabu ajambe harufu ya biriani[emoji125]Woyoooo
Baba Jeni Bye Bye
Kulipwa vepe
Povu vepeYaani unaleta uzi habari juujuu halafu unawaambia waende Instagram, why usifunguke kwenye uzi wako au watu kwenda insta unalaza hesabu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole
HatareeSoon utaskia Dogo anaachia ngoma mpyaa na ma enter view kibao
Hahaha ha oyoooDogo alisimamia ndoa kwa niaba ya mtu mwingine,kiislamu unaweza muolea mtu then akaenda kwa mumewe.huyo mtoto ni fundi balaa kwenye 6×6 lazima maharabu ajambe harufu ya biriani[emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzio kaolewa na sheikh Dubai mtaisoma namba