Swali ambalo hukuwahi kujibiwa, Leo majibu yake yapo hapa

Swali ambalo hukuwahi kujibiwa, Leo majibu yake yapo hapa

masupacca16

Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
66
Reaction score
47
Uliza swali ambalo hukuwahi kupata majibu au kupatiwa majibu katika maisha yako yote, Leo utapatiwa majibu ya maswali yako yote. Karibuni sana
 
Kwa nini kura za uraisi wa bara zilikuwa halali wakati za huku kwetu zilikuwa batili na wapiga kura tulikuwa walewale?
 
Uliza swali ambalo hukuwahi kupata majibu au kupatiwa majibu katika maisha yako yote, Leo utapatiwa majibu ya maswali yako yote. Karibuni sana
Hivi "sismizi" kwa kiingereza anaitwaje?
 
Back
Top Bottom