Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ndo umeona hili ndo swali la kujibu??Ww mm lijali naolewaje[emoji15]
big noooooooFather Me Is Child Of How Much In Family Ours?
Nimecheka sana.....!Father Me Is Child Of How Much In Family Ours?
Father, what is my birth order in our family ?BABA MIMI NI MTOTO WA NGAPI KATIKA FAMILIA YETU
sentesi hii niwekee kwa kingrereza
Mimi ni ustaazi Juma na Musoma, Muzamili Katunzi au ni Papaa Musofe?Uliza swali ambalo hukuwahi kupata majibu au kupatiwa majibu katika maisha yako yote, Leo utapatiwa majibu ya maswali yako yote. Karibuni sana
Yote yote we uliza tu kuwa huruLa aina gani?? au yote yote?
Swali zuri.. Katika dunia yetu kuna layers kama saba (atmospheric layers ) ambazo ni atmosphere, troposphere, stratosphere, mesosphere ionosphere na exosphere na hizi layaer inasadikiwa zipo katika kila sayari, katika dunia yetu layer ya troposphere na ionosphere ndizo zimegundulika kupitisha umeme kirahisi. Kwa nn umeme unasafiri bila nyaya angani?... Jibu ni hivi katika hizo layer nlizokutajia hapo juu kuna hewa ambzo zina kua na molecules za negative(-) na positive(+) hizi molecule hupitisha umeme katika layer tajwa hapo juu.kama radi ni umeme je inawezaje kutrans angani mpk ardhini bila ya nyaya(kitu chochote cha kupitisha umeme huo)..?
Pia inasemekana umeme uliopo angani hua una nguvu sana kipind cha mchana na jua Kali na huwa na nguvu kidogo wakati wa usiku na asubuhSwali zuri.. Katika dunia yetu kuna layers kama saba (atmospheric layers ) ambazo ni atmosphere, troposphere, stratosphere, mesosphere ionosphere na exosphere na hizi layaer inasadikiwa zipo katika kila sayari, katika dunia yetu layer ya troposphere na ionosphere ndizo zimegundulika kupitisha umeme kirahisi. Kwa nn umeme unasafiri bila nyaya angani?... Jibu ni hivi katika hizo layer nlizokutajia hapo juu kuna hewa ambzo zina kua na molecules za negative(-) na positive(+) hizi molecule hupitisha umeme katika layer tajwa hapo juu.
Radi.. Radi hutokea pindi mawingu yenye molecules nyingi za (+) na mengine ya (-) yanapo kutana basi hutokea mlipuko ambayo huzalisha sauti na umeme yaani radi umeme huo husafiri kotokea juu mpaka ardhin kupitia molecules zilizopo kwenye hewa.
Na hivo ndivo umeme wa radi unavo safiri
Sio kweli kuwa binadamu ametokana na sokwe. Kwa kutizama nadharia mbili zifuatazowanasema binadamu tumetokana na sokwe je kwa nini hakuna wale sokwe wanaondelea kubadilika kuwa binadamu??[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kobe kama wanyama wengine hutembea maneo mbali mbali kwa ajili ya kutafuta mahitaji muhimu ( chakula) kwa hyo kuonekana maeneo hayo wakati hawapatikani maeneo hayo ni jambo la kawaida kwa kuwa wanyama hutembea sana kutafuta chakula na maeneo ya kujihifadhiNimeona kobe nyumbani kwangu na maeneo hayo hakuna kobe hii inamaananísha nn?