masupacca16
Member
- Nov 5, 2016
- 66
- 47
- Thread starter
- #41
Me menumeolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me menumeolewa?
Me ni binadamu wa kawaida tu kama wengine japo me ni nuru(mwangaza) hyo ndo utofautiWe mwanga au mchawi
Siku ya mwisho huwa ni jumapili, baada ya hapo ndo huanza siku mpya katika juma yaan jumatatuSiku ya mwisho ni lini?
Anyekupenda ni mama ako tu hata baba ako hakupendi kwa moyo mmoja maana ana wasi wasi we unaweza kua sio mwanaeWho love me[emoji25] [emoji25] [emoji25]
Duh! Mkuu swali lako noma, imekuwaje ukajiuliz yote hayoHivi kwanini nywele za kichwani ni nywele
Kidevuni -ndevu
Juu ya jicho-Nyusi
Kwenye macho -Kope
Juu ya mdomo=Sharafa
Pembeni ya uso- Sharubu
Kwapani -
Sirini- Mavuzi
Shida yote ya nini si wangeita nywele tu ?
AntHivi "sismizi" kwa kiingereza anaitwaje?
Kunya sasaAkiwajibu nakunya
Kutofautisha mambo ni jambo LA busara sana hasa katika vitu ambavyo vinafanana ili kupata na kuelewa maana halisi ya kizungumziwacho ndo maana yakatungwa majina hayo ili kutofautisha na kupeleka maana halisi Ujumbe kusudiwaHivi kwanini nywele za kichwani ni nywele
Kidevuni -ndevu
Juu ya jicho-Nyusi
Kwenye macho -Kope
Juu ya mdomo=Sharafa
Pembeni ya uso- Sharubu
Kwapani -
Sirini- Mavuzi
Shida yote ya nini si wangeita nywele tu ?
Sijui mkuu ,nataka tu majibu .....teh tehDuh! Mkuu swali lako noma, imekuwaje ukajiuliz yote hayo
Unasubiri kujibiwa na mimiNafanya nini saizi mimi?
Ni kwa sababu miili yetu in chumvi chumvi nyingi sana ndio maana kila kitikacho mwlin mwa wanyama huwa kina chumvi nyingi tu mfano mkojo, mate, makohozi, damu hata kule chumvin kama vijana wanavopata. Kwa hiyo makamasi kua na chumvi ni kuyokana na nature ya miili yetuKwanini ukiramba Kamasi zina Chumvi?
Utakufa siku ambayo Mungu ameipanga kukuchukua ila siku ni juma tatu, jumanne, juma tano, Alhamisi, Ijumaa, jumamosi, pia jumapili. Muda ni sekunde yoyote kuanzia sasaNitakufa siku gani?
Yesu hakua mweusi wala mzungu Bali alikua ni mwarabuyesu alikuwa mweusi au mzungu?
Wow! mkuu asante kwa ufafanuzi murua....Swali zuri.. Katika dunia yetu kuna layers kama saba (atmospheric layers ) ambazo ni atmosphere, troposphere, stratosphere, mesosphere ionosphere na exosphere na hizi layaer inasadikiwa zipo katika kila sayari, katika dunia yetu layer ya troposphere na ionosphere ndizo zimegundulika kupitisha umeme kirahisi. Kwa nn umeme unasafiri bila nyaya angani?... Jibu ni hivi katika hizo layer nlizokutajia hapo juu kuna hewa ambzo zina kua na molecules za negative(-) na positive(+) hizi molecule hupitisha umeme katika layer tajwa hapo juu.
Radi.. Radi hutokea pindi mawingu yenye molecules nyingi za (+) na mengine ya (-) yanapo kutana basi hutokea mlipuko ambayo huzalisha sauti na umeme yaani radi umeme huo husafiri kotokea juu mpaka ardhin kupitia molecules zilizopo kwenye hewa.
Na hivo ndivo umeme wa radi unavo safiri
Hapana, hapa umelisha watu tango mwitu. Yesu alikua ni myahudi(mamaake)Yesu hakua mweusi wala mzungu Bali alikua ni mwarabu
Haaah! Kumbe na jf kuna magenious.Siku ya mwisho huwa ni jumapili, baada ya hapo ndo huanza siku mpya katika juma yaan jumatatu