Swali analotakiwa kumuuliza mwanamke ukiwa unatafuta mpenzi ni kama ameolewa. Akijibu hapana basi huyo yupo single

Swali analotakiwa kumuuliza mwanamke ukiwa unatafuta mpenzi ni kama ameolewa. Akijibu hapana basi huyo yupo single

Nimeagizwa niwaletee huu UJUMBE,😅😅

Eti uko kwenye mahusiano?
Una mpenz ???

Kama hana Pete kidolen huyo ni single,

Unatakiwa kuuliza umeolewa ?

Una mume ??

Majibu yakiwa ndyo basi achana naye kwasababu ni mke wa mtu

Na akijibu hapana basi yupo single.

ACHENI KUTUULIZA MASWALI YA KIPUUZI KAMA TUPO KWENYE MAHUSIANO AU TUNA MPENZI
Akijibu hapanaaa ushato...aisee mama wanaume wa sasa Pete atuvaii kichanganyeni ati umeoa umeolewa Pete tunavaa tukikaribia mahome aka .....
 
Nimeagizwa niwaletee huu UJUMBE,😅😅

Eti uko kwenye mahusiano?
Una mpenz ???

Kama hana Pete kidolen huyo ni single,

Unatakiwa kuuliza umeolewa ?

Una mume ??

Majibu yakiwa ndyo basi achana naye kwasababu ni mke wa mtu

Na akijibu hapana basi yupo single.

ACHENI KUTUULIZA MASWALI YA KIPUUZI KAMA TUPO KWENYE MAHUSIANO AU TUNA MPENZI
Wanaume weusi na warefu muwe na siku njema nyie wengine lolote liwakutee
 
Nimeagizwa niwaletee huu ujumbe,😅😅

Eti uko kwenye mahusiano? Una mpenzi?

Kama hana Pete kidolen huyo ni single!

Unatakiwa kuuliza umeolewa? Una mume?

Majibu yakiwa ndiyo basi achana naye kwasababu ni mke wa mtu na akijibu hapana basi yupo single.

Acheni kutuuliza maswali ya kipuuzi kama tupo kwenye mahusiano au kama tuna mpenzi!
Kama mm Niko kwenye mahusiano ila sio kivileee nkikutana na swali la namna hii Huwa naudhika sana..ila Bado naendelea kuwatakia siku njema wanaume weusi na warefu mungu awabariki sana
 
sawa sawa hilo swala lako inabidi tulipeleke bungeni, wakajadili maana imekuwa shida sana kwa watanzania
hili hakuna haja ya kulipeleka bungeni ni kuwqchosha waheshimiwa wetu kwa jambo ambalo liko wazi binti km hajaolewa huyo yuko single
 
Back
Top Bottom