Swali analotakiwa kumuuliza mwanamke ukiwa unatafuta mpenzi ni kama ameolewa. Akijibu hapana basi huyo yupo single

Akijibu hapanaaa ushato...aisee mama wanaume wa sasa Pete atuvaii kichanganyeni ati umeoa umeolewa Pete tunavaa tukikaribia mahome aka .....
 
Wanaume weusi na warefu muwe na siku njema nyie wengine lolote liwakutee
 
Kama mm Niko kwenye mahusiano ila sio kivileee nkikutana na swali la namna hii Huwa naudhika sana..ila Bado naendelea kuwatakia siku njema wanaume weusi na warefu mungu awabariki sana
 
sawa sawa hilo swala lako inabidi tulipeleke bungeni, wakajadili maana imekuwa shida sana kwa watanzania
hili hakuna haja ya kulipeleka bungeni ni kuwqchosha waheshimiwa wetu kwa jambo ambalo liko wazi binti km hajaolewa huyo yuko single
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…