vp wewe umeo
ππUnakuta huna pete kidoleni mtu anakuuliza una mwanaume serious??? Whaaaat!!!!!!!!!
Ukiona mwanamke hana pete ya uchumba wala ndoa
Uyo yupo single angekua na mwanaume ungeona mapete ... ww kama unataka kuoa tangaza nia oa
π πsawa sawa hilo swala lako inabidi tulipeleke bungeni, wakajadili maana imekuwa shida sana kwa watanzania
Zama za kutongoza zishapitwa na wakati mkuu. Sasa hivi tupo kwenye zama za kununua.Vijana wa skuizi mnaona kwamba kutingoza ni mbooonge la tizi yani mnapata ugumu zana kuzoza kiasi kwamba mnapo kubaliwa mnakuja kuanzisha na uzi kabisa...π
Sasa mngekua enzi zetu hakuna sim na teknolojia, then unatongoza na bado unakataliwa na kutangazwa juu... simngekua mnaandika na vitabu kabisa..π€£
Hatuoi makapi. Mademu kama nyie tunapiga na kusepa tu tukitaka kuoa tunatafuta binti decent.Unakuta huna pete kidoleni mtu anakuuliza una mwanaume serious??? Whaaaat!!!!!!!!!
Ukiona mwanamke hana pete ya uchumba wala ndoa
Uyo yupo single angekua na mwanaume ungeona mapete ... ww kama unataka kuoa tangaza nia oa
Bado mbinu ya mashangaziNimeagizwa niwaletee huu ujumbe
Na sis ndo tupoHatuoi makapi. Mademu kama nyie tunapiga na kusepa tu tukitaka kuoa tunatafuta binti decent.
Binti decent ππ nmecheka sanaHatuoi makapi. Mademu kama nyie tunapiga na kusepa tu tukitaka kuoa tunatafuta binti decent.
PumbaNimeagizwa niwaletee huu ujumbe