Swali chokozi kwa wanawake wote walio kwenye mahusiano

Swali chokozi kwa wanawake wote walio kwenye mahusiano

Kwenye mahusiano yapi?...kupigana miti tu,uchumba au ndoa...tuanzie hapo kwanza.

Maana kiuhalisia wanandoa ndo hugawa namba sana kuliko wa kupigana miti tu.

Anyway,turudi kwenye mada...sidhani kama matatizo yote unatatuliwa na huyo tu uliyenaye.

Tukirudi kwenye uhalisia:kwa binti au mwanamke yeyote anaetaka kuolewa...usibane namba ...yaan toa namba ,yaan toa tu namba...sidhani kama hujui kuwa huyo uliyenaye ni timu kataa ndoa...wanatuzugia ndoa ili watukojolee......
umerukaruka na stanza zako lakini haujajibu kwanini mnafanyi hizo mambo.

kwanini utoe namba kwa wanaume wengine kwa nia ya kutongozwa wakati upo kwenye mwahusiano?
 
Kwenye mahusiano yapi?...kupigana miti tu,uchumba au ndoa...tuanzie hapo kwanza.

Maana kiuhalisia wanandoa ndo hugawa namba sana kuliko wa kupigana miti tu.

Anyway,turudi kwenye mada...sidhani kama matatizo yote unatatuliwa na huyo tu uliyenaye.

Tukirudi kwenye uhalisia:kwa binti au mwanamke yeyote anaetaka kuolewa...usibane namba ...yaan toa namba ,yaan toa tu namba...sidhani kama hujui kuwa huyo uliyenaye ni timu kataa ndoa...wanatuzugia ndoa ili watukojolee......
nimekusoma ccy😊
 
Kwenye mahusiano yapi?...kupigana miti tu,uchumba au ndoa...tuanzie hapo kwanza.

Maana kiuhalisia wanandoa ndo hugawa namba sana kuliko wa kupigana miti tu.

Anyway,turudi kwenye mada...sidhani kama matatizo yote unatatuliwa na huyo tu uliyenaye.

Tukirudi kwenye uhalisia:kwa binti au mwanamke yeyote anaetaka kuolewa...usibane namba ...yaan toa namba ,yaan toa tu namba...sidhani kama hujui kuwa huyo uliyenaye ni timu kataa ndoa...wanatuzugia ndoa ili watukojolee......
punguza ukweli To yeye 😂
 
leo nimeomba namba mdada mrembo akanipatia alafu baadaye namuomba date...ananiambia mke wa mtu...duuh nimechoka skuuliza mara mbili nikaamua kufuta namba yake...nayajua maumivu ya jamaa yake akisikia nko na mke wake
 
Back
Top Bottom