Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa maelezo yako mule jibu moja linakuja hamjui mnataka niniKama una upeo mzuri majibu yako waz hapo
Ila we dada una hatari Sana,dah!Kwenye mahusiano yapi?...kupigana miti tu,uchumba au ndoa...tuanzie hapo kwanza.
Maana kiuhalisia wanandoa ndo hugawa namba sana kuliko wa kupigana miti tu.
Anyway,turudi kwenye mada...sidhani kama matatizo yote unatatuliwa na huyo tu uliyenaye.
Tukirudi kwenye uhalisia:kwa binti au mwanamke yeyote anaetaka kuolewa...usibane namba ...yaan toa namba ,yaan toa tu namba...sidhani kama hujui kuwa huyo uliyenaye ni timu kataa ndoa...wanatuzugia ndoa ili watukojolee......
😂😂😂😎Ila we dada una hatari Sana,dah!
Hakikakwa maelezo yako mule jibu moja linakuja hamjui mnataka nini
HAfsa hashim?Namba nayo ni kitu cha kunyima mtu kweli jmn... 😀
Ndio ukichechest wenyewe huuNamba kutoa muhimu maana mkishatuoa au tukishawakubalia kuwa na mahusiano mnajisahau sana yaani mnabweteka!
Hivi namba ni kitu cha kumnyima mtu kweli.Kwanini unaendelea kugawa namba kwa wanaume wanaoonyesha nia ya kukutaka kimapenzi wakati tayari uko kwenye mahusiano na mwanaume wako?
Hivi namba ni kitu cha kumnyima mtu kweli.
Waziri alikuwa anakojoa pazuri
Ndo hivyo cv ishachafuliwa 😁😁😁Waziri alikuwa anakojoa pazuri
Ukisikia mshahara wa dhambi ni nauti ndio huuNdo hivyo cv ishachafuliwa 😁😁😁
Kweli kabisa mchuma janga hula na nduguzo 😁😁😁😁.Ukisikia mshahara wa dhambi ni nauti ndio huu
Jamaa anatamani naye afe tu. Maana hata kazi tayari imeharibikaKweli kabisa mchuma janga hula na nduguzo 😁😁😁😁.
Si kweli kabisaUtelezi je? Namba ni njia ya kuuelekea utelezo