Swali dogo: Simba na Yanga walikwenda Morocco Kufanya nini?

Swali dogo: Simba na Yanga walikwenda Morocco Kufanya nini?

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Inawezekana jibu liko wazi ila kwa vile mimi sijui jibu lake nimeamua kuuliza. Yanga na Simba walikwenda Morocco kufanya nini kwa vile hakuna mashindano makubwa ya kimataifa huko. Je, walikwenda kufanya mazoezi tu? Kama ni hivyo kwa nini timu zote mbili ziende Morocco?
 
Inawezekana jibu liko wazi ila kwa vile mimi sijui jibu lake nimeamua kuuliza. Yanga na Simba walikwenda Morocco kufanya nini kwa vile hakuna mashindano makubwa ya kimataifa huko. Je walikwenda kufanya mazoezi tu? Kama ni hivyo kwa nini timu zote mbili ziende Morocco?
Timu zote mbili (Simba na Yanga) zilipata ofa ya kulipiwa kambi na gharama yote ya kambi huko Morocco kutoka kwa timu ya huko ambayo imewanunua wachezaji wao maarufu kama sehemu ya ofa ya kuwauza wachezaji hao (kama ni mfuatiliaji wa mpira wa bongo utakua umeshajua ni wachezaji gani na ni timu gani)
 
Timu zote mbili (Simba na Yanga) zilipata ofa ya kulipiwa kambi na gharama yote ya kambi huko Morocco kutoka kwa timu ya huko ambayo imewanunua wachezaji wao maarufu kama sehemu ya ofa ya kuwauza wachezaji hao (kama ni mfuatiliaji wa mpira wa bongo utakua umeshajua ni wachezaji gani na ni timu gani)
nilikuwa sijui, ndiyo maana nikauliza!
 
Kuna timu iliwahi kuweka kambi uturuki, kulikuwa na mashindano gani makubwa kule?
Hili swali ni ugolo mtupu kwani halina uhusiano na swali nililouliza. Ni kawaida kwa timu kuweka kambi mahala popote wanapochagua; mwaka 1972 Yanga iliweka Kambi Brazil kwa mwezi mzima, na Simba nayo iliweka kambi Rumania kwa mwezi mzima pia, swali langu lilikuwa dogo kuwa kwa nini timu zote mbili ziende Morocco kwa wakati mmoja, jambo ambalo linawezekana tu iwapo zinashiriki mashindano fulani. Kuna mtu mwungana keshanijibu vizuri kuwa imekuwaje zote ziende kuweka kambi huko; siyo pumba zako hizi.
 
Simba walipanga kuweka kambi misri lakini kulikuwa na changamoto za kilogistic na ndio zilizosababisha washindwe kwenda misri.
 
Inawezekana jibu liko wazi ila kwa vile mimi sijui jibu lake nimeamua kuuliza. Yanga na Simba walikwenda Morocco kufanya nini kwa vile hakuna mashindano makubwa ya kimataifa huko. Je walikwenda kufanya mazoezi tu? Kama ni hivyo kwa nini timu zote mbili ziende Morocco?
Wakipewa mialiko
 
Simba walipanga kuweka kambi misri lakini kulikuwa na changamoto za kilogistic na ndio zilizosababisha washindwe kwenda misri.
Jibu kamili la swali langu limeshatolewa hapa
 
Hili swali ni ugolo mtupu kwani halina uhusiano na swali nililouliza. Ni kawaida kwa timu kuweka kambi mahala popote wanapochagua; mwaka 1972 Yanga iliweka Kambi Brazil kwa mwezi mzima, na Simba nayo iliweka kambi Rumania kwa mwezi mzima pia, swali langu lilikuwa dogo kuwa kwa nini timu zote mbili ziende Morocco kwa wakati mmoja, jambo ambalo linawezekana tu iwapo zinashiriki mashindano fulani. Kuna mtu mwungana keshanijibu vizuri kuwa imekuwaje zote ziende kuweka kambi huko; siyo pumba zako hizi.
Attention: Kuweka rekodi sawa, Yanga walienda kwenye mazoezi Brazil na Simba walienda Poland na wala sio Romania na hiyo ilikuwa ni mwaka 1974 na sio 1972.

Ndipo mwaka huo wa 1974 zikakutana kwenye fainali ya klabu bingwa Tanzania kwenye uwanja wa Nyamagana, Mwanza na Yanga kuishinda Simba 2-1 baada ya dakika 120. Upo hapo?
 
Inawezekana jibu liko wazi ila kwa vile mimi sijui jibu lake nimeamua kuuliza. Yanga na Simba walikwenda Morocco kufanya nini kwa vile hakuna mashindano makubwa ya kimataifa huko. Je, walikwenda kufanya mazoezi tu? Kama ni hivyo kwa nini timu zote mbili ziende Morocco?
Wameenda kufanya mazoezi kujiandaa na mashindano
 
Attention: Kuweka rekodi sawa, Yanga walienda kwenye mazoezi Brazil na Simba walienda Poland na wala sio Romania na hiyo ilikuwa ni mwaka 1974 na sio 1972.

Ndipo mwaka huo wa 1974 zikakutana kwenye fainali ya klabu bingwa Tanzania kwenye uwanja wa Nyamagana, Mwanza na Yanga kuishinda Simba 2-1 baada ya dakika 120. Upo hapo?
sawa!
 
Hili swali ni ugolo mtupu kwani halina uhusiano na swali nililouliza. Ni kawaida kwa timu kuweka kambi mahala popote wanapochagua; mwaka 1972 Yanga iliweka Kambi Brazil kwa mwezi mzima, na Simba nayo iliweka kambi Rumania kwa mwezi mzima pia, swali langu lilikuwa dogo kuwa kwa nini timu zote mbili ziende Morocco kwa wakati mmoja, jambo ambalo linawezekana tu iwapo zinashiriki mashindano fulani. Kuna mtu mwungana keshanijibu vizuri kuwa imekuwaje zote ziende kuweka kambi huko; siyo pumba zako hizi.
Unaandika upumbavu sana we jamaa
 
Unaandika upumbavu sana we jamaa
Wapumbavu wengi hudhani kuwa wao wana akili kuliko wengine. Ukishaona mtu anamwita mwenzie mpumbavu haraka haraka, basi ujue yeye ndiye mpumbavu wa kutisha ila anajaribu kuficha upumbavu wake kwa kuwanyooshea wengine vidole !

1629669296681.png
 
Timu zote mbili (Simba na Yanga) zilipata ofa ya kulipiwa kambi na gharama yote ya kambi huko Morocco kutoka kwa timu ya huko ambayo imewanunua wachezaji wao maarufu kama sehemu ya ofa ya kuwauza wachezaji hao (kama ni mfuatiliaji wa mpira wa bongo utakua umeshajua ni wachezaji gani na ni timu gani)
Simba Hawakupafa Offa. Walifanya ujeuri na kusema walipwe pesa zao zote.
 
Inawezekana jibu liko wazi ila kwa vile mimi sijui jibu lake nimeamua kuuliza. Yanga na Simba walikwenda Morocco kufanya nini kwa vile hakuna mashindano makubwa ya kimataifa huko. Je, walikwenda kufanya mazoezi tu? Kama ni hivyo kwa nini timu zote mbili ziende Morocco?
Kumbuka yanga ndio waliopanga kwenda morocco,simba wao walitangaza wanaenda misri,ghafla eti nao simba wakasema nao wanaenda morocco

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom